- Aug 6, 2009
- 2,190
- 1,095
Sawa mkuu, nitafuata ushauri wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu, nitafuata ushauri wako
Akiendelea hivi anaweza mpindua tena MayeleSaido mfungaji Bora
30Kwani ligi ya Tz mechi ni ngapi zinachezwa?
Tayari, bado kidogo tuAkiendelea hivi anaweza mpindua tena Mayele
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Akiendelea hivi anaweza mpindua tena Mayele
Mayele ana mangapi!?Tayari, bado kidogo tu
Chezeni mechi yenu mambo ya jirani uta chelewa kufikaKuna mtu kaachwa Dar na Uto atasafiri usiku wa leo kwenda Mbeya.
Unapo sema CAF lazima ufafanue CAF ipi ya Mabingwa au Walioshirikishwa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena wa CAF sio NBC
CAF Cup 93Unapo sema CAF lazima ufafanue CAF ipi ya Mabingwa au Walioshirikishwa?
Ni kweli ndio maana mko fainali club bingwaHili ni pila la Club Bingwa hakika.
Sio hadi Morrisoni ampige mateke Golikipa na kumwumiza ndio magoli yafungwe.
Unajua maana ya full mkoko,au unaropoka tu hapo?Mnavyo pambana sasa utazani ni fainali kumbe ni kukamilisha ratiba tu[emoji91][emoji81]full mkoko
Hizi ndio mechi zakeSaido mfungaji Bora