Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Wameshatimka πTopolooo wa kubebwa mpoooo?
mechi haina mvuto tena
Kuna moja anapambana sana humu ila ni kama kumdumbukiza chura kwny maji hahhhhaZimenunaaaaa
Tuwafungie vioo wote post zao tuzipite kama hazipoKuna moja anapambana sana humu ila ni kama kumdumbukiza chura kwny maji hahhhha
Nyie mijitu ya HOVYO. Champion league since 1998. WAJINGA KWELI NYIEIla Makolo mnachekesha kweli,
Mnashangilia kuwafunga hao watoto tena wapo pungufu [emoji1787]
Ngoja niwaitie Prince Dube
Sure nimekuelewa mwana lunyasi huu uwe mwendelezoTuwafungie vioo wote post zao tuzipite kama hazipo
Tuhamasishane kwenye hili na kule walikojibiwa post zifutweSure nimekuelewa mwana lunyasi huu uwe mwendelezo