FT: NBCPL, Simba SC 5-0 Mtibwa Sugar | Uwanja wa Mkapa | 30/10/2022

Kadi ya njano ya pili kwa Kasian Ponela

Kadi nyekundu kwa Kasian Ponela
 
Hii mechi nimeona nisiendelee kuangalia maana ni kichefuchefu ushindi umekosa ladha kabisaaa.. Yaani refarii analazimisha timu Moja wachezw 8 uwanjani??? Bladfakeni refarii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…