The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Watu wanashidwa kuelewa kasi ya Simba ndiyo imepelekea yote hayoKama zilitolewa kihalali ndio sehemu ya mchezo.. Kambumbu sio vita ni mchezo wa furaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanashidwa kuelewa kasi ya Simba ndiyo imepelekea yote hayoKama zilitolewa kihalali ndio sehemu ya mchezo.. Kambumbu sio vita ni mchezo wa furaha
Hii kasi mechi na Azzam ilipotelea wapi?Watu wanashidwa kuelewa kasi ya Simba ndiyo imepelekea yote hayo
Kusema kwake ukweli ndio kunakuchukiza?Namch
Namchukia uyu jamaa chaaa
Sisi Simba tunafungika.Hii kasi mechi na Azzam ilipotelea wapi?
Hilo ndio soka achana na kujidanganya Unbeaten huku ukijua unafanya maigizoHii kasi mechi na Azzam ilipotelea wapi?
Historian yao ni mabingwa wa kihistoria ila historian ya kufungwa 6 Huwa hawakumbukiYanga wanashangaa Mtibwa kufungwa Mkono...wakati wao tulishawafunga hivyo..au wazee wa historia wamesahau
Siku hiyo nilikuwa biz mtani. Leo mchana nikawa free nikasema sipitwi na mechi ya mtani. Shida yenu mtani ni saikolojia linapokuja suala la kimataifa wachezaji wanapoteza ujasiri. Wanahitaji kujengwa kosaikolojia waone kama wanacheza na IhefuMtani Bill inamaana huu uzi hujauona hata. 🤣🤣
Kwa kweeli aisee Mtani.Siku hiyo nilikuwa biz mtani. Leo mchana nikawa free nikasema sipitwi na mechi ya mtani. Shida yenu mtani ni saikolojia linapokuja suala la kimataifa wachezaji wanapoteza ujasiri. Wanahitaji kujengwa kosaikolojia waone kama wanacheza na Ihefu