Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
KabisaaaWalipo tupooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaaaWalipo tupooo
kileleni kuna baridi kali, huko chini naona mnajipongeza na magoli tu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Amina .Nawatakia usiku mwema wana Lunyasi wote Tulale kwa jina la MKONO
Kuna haja ya kuwa na msimamo wa ligi wa kweli. Kiuhalisi Utopolo haitakiwi iwe kileleni, ina points 15... wana points 3 za kupewa za Azam (mpira ulitoka nje) na point 2 za bure za Geita Goldkileleni kuna baridi kali, huko chini naona mnajipongeza na magoli tu
Kama zilitolewa kihalali ndio sehemu ya mchezo.. Kambumbu sio vita ni mchezo wa furahaTumeshinda ila kadi mbili na goli kipa wa mtibwa sugar imeifanya game kukosa ladha halisi na ushindani.
Sio kambumbu ni Kabumbu acha kuzeeka vibaya babu jingaKama zilitolewa kihalali ndio sehemu ya mchezo.. Kambumbu sio vita ni mchezo wa furaha
Hapana ni sahihi kabisa mkuu nimetoa maoni kiupande wangu tu nothing else.Kama zilitolewa kihalali ndio sehemu ya mchezo.. Kambumbu sio vita ni mchezo wa furaha
Asante sana tufurahie ushindi wa hamsa duaraHapana ni sahihi kabisa mkuu nimetoa maoni kiupande wangu tu nothing else.
Hata kipa pia hajawahi kucheza mechi yoyote ya premier league msimu huu mmoja yupo Tanzania under 20 mwingine mgonjwa hvyo kipa hakuwa sawa kwenye mechi ya leoRedi kadi zimeamua matokeo ya kipuuz,kariaaaa na tumbo lake kafurahi sana leo
Acha kuwa kama bumundaKuna haja ya kuwa na msimamo wa ligi wa kweli. Kiuhalisi Utopolo haitakiwi iwe kileleni, ina points 15... wana points 3 za kupewa za Azam (mpira ulitoka nje) na point 2 za bure za Geita Gold
Yanga wanashangaa Mtibwa kufungwa Mkono...wakati wao tulishawafunga hivyo..au wazee wa historia wamesahau
Ujinga kujitwisha ujinga. Mechi ilikuwa 0 kwa 0 hadi mapumziko kipindi cha pili Simba hawakurudi. Utopolo kapewa ushindi wa mezani point 2 na magoli 2.mikia ilipigwa kipogo cha mbwa mwitu kipindi cha pili haikurudi uwanjani au umejisahaurisha!!!!?