Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkonooo mkonoooo mkonoopo
We una nini huko kimataifa?kuishia robo?we kwelo kolo,chukua kombe ujitape sio huu upuuzi
Ni kweli kwasababu tulio wengi hatujaridhishwa na ushindi mwembamba kama huuYa aibu
Ona ww aibu unaekaa kwenye timu ya watu kujificha kujulikana kama ww ni utoo. 😀Ona aibu basi
Mechi kama hizi ndio zilikuwa za kumpa advantage ya kufunga mabao mengi ili ajiweke katika nafasi ya mbali na wapinzani wakeYaani kaniudhi
Hamna shida, mechi zijazo tutaomba refa asiwe na kadi nyekundu uwanjani.Ya aibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapi chozi linadondokea.Nawaombea timu ya Mtibwa Sukari
Ushindi, sare pia haina ubaya.
Furaha kaipate kwa mkeoTumeshinda 5 ila hatuna furaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana, kuna jamaa kama sikosei ni wa namungo alikuwa ana goli 5 wakati ye ana goli 3Si
Si ndio anaongoza ama?
mkono mtu haulambwiMkonooo mkonoooo mkonoopo
Mkuu yaani unapata wivu Mimi kujibiwa na huyo mrembo????@kalpina tulikubaliana tusiwajibu