FT: NBCPL, Simba SC 5-0 Mtibwa Sugar | Uwanja wa Mkapa | 30/10/2022

FT: NBCPL, Simba SC 5-0 Mtibwa Sugar | Uwanja wa Mkapa | 30/10/2022

Mkonooo mkonoooo mkonoopo
giphy.gif
 
Redi kadi zimeamua matokeo ya kipuuz,kariaaaa na tumbo lake kafurahi sana leo
 
Si
Si ndio anaongoza ama?
Hapana, kuna jamaa kama sikosei ni wa namungo alikuwa ana goli 5 wakati ye ana goli 3

Ni laurent Lusajo ana goli 5 kwa hiyo wako sawa na Moses Scars Phiri

Baada ya hapo anafuata Feisal akiwa na goli 4
 
Back
Top Bottom