FT: Niger 0-1 Tanzania. Kufuzu Kombe la Dunia. Novemba 18, 2023

FT: Niger 0-1 Tanzania. Kufuzu Kombe la Dunia. Novemba 18, 2023

Yaani google wanatuzidi sisi wenye timu yetu?!

DAE5C4A2-605E-4C37-A1C1-491AAFAEE8E3.jpeg

Yaani JF haioni umuhimu wa ku-update matokea ya mechi muhimu kama hii kwa haraka?! Hii ni world cup qualifier!!
 
Match haijapewa uzito stahiki.., kila mahali watu wamekomaa na mabango ya Yanga, nimeshajua nini kinadumaza mpira wa bongo. Ni simba na Yanga. Maana wanapika wachezaji wa kigeni wanaoenda kuzipaisha nchi zao, huku sisi tukidumaa
Sahihi.
 
Back
Top Bottom