Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajitahidi halafu bado wadogo hata maturity yao unaiona kama tukiendelea hivi miaka kama mitano tutafikia level ya kutambulika AfrikaHawana uzalendo
Sio DRC wewe.Kwenye kundi letu wangejituma kidogo tu,ukiachana na Morocco,wengine wote ni wa kawaida sana. Kwa sasa sisi tunaweza kuwa level moja na Zambia.
Nimeangalia mechi ya DRC na Zambia. Hawa DRC wepesi mno. Hapo za kuwekana sawa inatakiwa iwe Zambia na Moroco tu. Wachezaji wakikaza kidogo tu hawa Niger ni wetu hawa,inatakiwa tuwatupie nje,ndani. DRC pia kwa walivyo sasa tuwatupie nje,ndani. Hapo inatakiwa wakija Moroco tupige nao patulo sale. Kwao acha watufunge. Tupambane na Zambia kwao sare,hata kwetu tukipata nao sare.
Hapo tayari tutakuwa tumemaliza na point 11[emoji3581] . Tutakuwa tumepita nafasi ya pili. Hata tukiangukia nafasi ya 3,kwa kundi letu ksbb ziko 5 maana yake timu ya 3 kuna timu itacheza nayo best rooser mtoano ndani na nje.
Kizuri zaidi timu sasa kutoka Afrika zimeongezwa nafikiri zitakuwa kati ya timu 9 au 10 hapo. Kwa hiyo sidhani kama tutakosa. Kocha kama mjanja waangalie sana mechi za DRC na Zambia,maana huko kuna point zetu wachezaji wakiongeza moto kidogo tu
Mipango ya hovyo Sana Timu inacheza Tu Bora liendeWanajitahidi halafu bado wadogo hata maturity yao unaiona kama tukiendelea hivi miaka kama mitano tutafikia level ya kutambulika Afrika
Maturity tena?Wanajitahidi halafu bado wadogo hata maturity yao unaiona kama tukiendelea hivi miaka kama mitano tutafikia level ya kutambulika Afrika
Uko sahihiMipango ya hovyo Sana Timu inacheza Tu Bora liende
Vilabu vina malengo yao, Tff ndio wenye jukumu la kuandaa vijana kujenga timu ya taifa, vilabu ni wadau tu.Match haijapewa uzito stahiki.., kila mahali watu wamekomaa na mabango ya Yanga, nimeshajua nini kinadumaza mpira wa bongo. Ni simba na Yanga. Maana wanapika wachezaji wa kigeni wanaoenda kuzipaisha nchi zao, huku sisi tukidumaa
Hakuna kitu kabisa, uwezo mdogo sanaHapa hamna timu kabisa... Ni papatu papatu
Kun madogo wengi sana Bacca,Job,Novatus, huyo aliye funga goli, wapo wengi sana yaani kuna kitu una kiona cha msingi tusimame kwenye project na mipango yetu.Ila progress naiona.Maturity tena?
Mbona wengi hapo umri umeenda?
Mpango bila Uzalendo hakunaKun madogo wengi sana Bacca,Job,Novatus, huyo aliye funga goli, wapo wengi sana yaani kuna kitu una kiona cha msingi tusimame kwenye project na mipango yetu.Ila progress naiona.
Atakuwa tu anatoka SimbaKuna huyu beki wa kati kati sijui anaitwa nani yaani garasa tupu bute kabisaa kampasia mpira adui ndani ya box pia anachojua yeye ni kirudisha mpira kwa kipa kidogo achomeshe mara nne
Wanajitahidi.Mipango ya hovyo Sana Timu inacheza Tu Bora liende
Umesema kweli. Wengi wetu tunachojuwa ni lawama. Kukosea katika mchezo ni kawaida lakini sisi huku nje tumejikita katika kutafuta makosa (mabaya) ya timu. Kama unauangalia mpira na nia ya kutafuta makosa, lazima utayapata. Let us be positiove. Hata mtoto wako kama kila siku ni matusi ya kumkatisha tamaa unafikiri atafanya vizuri!Hata comment yako siyo ya kizalendo kabisa....ni comment ya hovyo na iliyojaa shutuma dhidi ya vijana wetu wanaolipambania taifa ukiwemo wewe ndani yake...huna haki kabisa kusema au kuandika kuwa eti vijana wetu hawaonyeshi uzalendo...
Hawa ndio makocha wa kutimuaKocha ni tatizo timu yetu ya taifa.
Namba 9 pia anapwaya sijui kwanini mzize hajaitwa