Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaiwezekaniWakuu hivi haiwezekani kuwe na timu ya taifa ambayo haitokani na wachezaji wa kwenye vilabu tofauti ili kuwe na mda wa kutosha wa kujiandaa,au club iitwe taifa stars inashiriki ligi pia ila wachezaji wa ndani tupu na gharama ya kuendesha itoke kwa TFF, labda tutatoboa
Furahia lkn hiyo tarehe 21 na Morocco kwa uchezaji huu andaa leso..😂Vp huko wakuu, tufurahie ushindi au kuna dosari tuzitafakari?
Uliwahi kuiona wapi inshu kama hiyo??Wakuu hivi haiwezekani kuwe na timu ya taifa ambayo haitokani na wachezaji wa kwenye vilabu tofauti ili kuwe na mda wa kutosha wa kujiandaa,au club iitwe taifa stars inashiriki ligi pia ila wachezaji wa ndani tupu na gharama ya kuendesha itoke kwa TFF, labda tutatoboa
Twende na nazi kumi🤣Furahia lkn hiyo tarehe 21 na Morocco kwa uchezaji huu andaa leso..😂
Sasa mkuu kila mechi wanaitwa wapya halafu hao wanaocheza nje wenyewe viwango bado sana kuisaidia timuHaiwezekani
Huu mpira tunaocheza tutaboa kweli!!
Kina Ashraf Hakim, wameshafika Dar tayariFurahia lkn hiyo tarehe 21 na Morocco kwa uchezaji huu andaa leso..😂
Yeah, hata hapa kwenye vilabu vyetu vya simba na yanga na azam wachezaji wa ndani wawewanawika sio chama na aziz ki tuUliwahi kuiona wapi inshu kama hiyo??
Hakuna njia ya mkato kama tunataka timu ya maana tupromote wachezaji wetu wacheze ulaya kwenye zile ligi za ushindani...
Angalia timu za Magharibi wachezaji wao wapo huko Ufaransa wingereza NK
🤣🤣🤣🤣Tutatoboa siku moja ikiwa tutashikamana kuiondoa ccm madarakani, ila kwa sasa hatuwezi.
Nendeni mpaka na hesabu za magazijuto...😅Twende na nazi kumi🤣
Tumetupa bomu mochwari 😂😂Papatupapatu na tumeshinda...😅