Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kwaheri mkuuKama wamezidiwa wamuingize Azizi Ki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaheri mkuuKama wamezidiwa wamuingize Azizi Ki
Taifa stars hawatii moyo kabisa kuwatazama, hapa usilaumu watu wakulaumiwa ni tff kushindwa kua na mipango ya kueleweka. mwisho wake timu imepoteza mvuto.Naona uzi umepoooa na hiyo yote ni kwa sababu taifa stars amecheza ila zingekuwa timu zenu za kariakoo huu uzi ungekuwa na wachangiaji 1000+
Anyway ila ni vyema mjifunze kuupenda mpira kwanza kabla ya kupenda timu zenu za kkoo
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Na ti efu efu ni ccmwakulaumiwa ni tff
Waacheni madogo wacheze, bila presha kwani wana mda wa kukua ila kwangu mimi timu naiona ipo vizuri,kwani hata mbuyu uliamza kama mchicha.Mpango bila Uzalendo hakuna
Huo mbuyu ulikuwa unatakiwa uwe umeshakomaa kwa sasa. Kwani Tanzania ya leo? Ipo toka mwaka 1964.Waacheni madogo wacheze, bila presha kwani wana mda wa kukua ila kwangu mimi timu naiona ipo vizuri,kwani hata mbuyu uliamza kama mchicha.
Acha utani bwashee,Kina Ashraf Hakim, wameshafika Dar tayari
Kuna jamaa ilikuwa naangalia naye mpira alikuwa anasinziaBora nitazame movie kuliko Taifa star[emoji1787][emoji1787]
Hata tulipo anzia tumejitahidi.Huo mbuyu ulikuwa unatakiwa uwe umeshakomaa kwa sasa. Kwani Tanzania ya leo? Ipo toka mwaka 1964.
Feitoto unamchukuliaje kwani?Mudathir na kibu sijawaona, alafu hawa wachezaji wa nje nao ni bure kabisa hamna kitu, wanazidiwa na Feitoto
Samata asicheze acheze mzize duhNamba 9 pia anapwaya sijui kwanini mzize hajaitwa
tatizo huwa linaanza hapa mnaleta siasi kwenye mambo yanayotaka sayansi nasio porojo.Na ti efu efu ni ccm
Kwa jinsi alivyopokea Ile pasi na ku dribble nikajua huyu hachezi soka TanzaniaCharles M'mombwa ndio kafunga. Anachezea Australia..
Kwa kipi ndugu utozi maana yake ni ipi?Samatta utozi mwingi sana......kwa timu ya taifa Kibu Denis ni mzuri kuliko Samatta
Huna akili mkuuWakuu hivi haiwezekani kuwe na timu ya taifa ambayo haitokani na wachezaji wa kwenye vilabu tofauti ili kuwe na mda wa kutosha wa kujiandaa,au club iitwe taifa stars inashiriki ligi pia ila wachezaji wa ndani tupu na gharama ya kuendesha itoke kwa TFF au wamtafute mdhamini, labda tutatoboa, kuliko kuleta sura jipya kila mechi
Maji na mafuta hujitenga, mchezaji wa kibongo utamjua na wa mbele utamjua tu.Kwa jinsi alivyopokea Ile pasi na ku dribble nikajua huyu hachezi soka Tanzania
Kama ni siasa michezoni zimeletwa na hao hao waliopo madarakani, mambo ya sayansi michezoni yanahitaji kizazi kingine na sio kizazi hiki cha kununua magoli.tatizo huwa linaanza hapa mnaleta siasi kwenye mambo yanayotaka sayansi nasio porojo.
Leo Yanga imecheza na Niger...?Ukuta wa Berlin wa Yanga umeonesha kiwango Cha juu Manula Yuko likizo Leo zile 5G kumbe ni beki mbovu
Timu ilikosa muunganiko wa katikati na mbele, viungo Wote watatu Fei, Mnoga na Bajana walikaba zaidi na kusahau kupandisha timu.
Timu iliishiwa pumzi dakika 20 za mwisho ikawa roho mkononi hivyo wafanye mazoezi sana ya mbio na fitness gym , Morocco sio Niger wasijetuaibisha 5G kwa Mkapa!
Ila timu yetu imekaba vizuri, ila nawapongeza sana Mbwana Samata na Simon Msuva kwa kujituma sana kukaba mwanzo mwisho kuliko wachezaji wengine , big up sana mmeonesha mfano wa kuigwa.
Manula na Mwamnyeto Kuna mpira walitegeana jamaa wa Niger akawa anaenda kufunga ila Nondo akawahi kuokoa Boko lake Hili wasirudie, waongee!!
Novatus ni majeruhi wamtibu haraka Leo alihangaika na msuli wa paja mara kwa mara kacheza kwa uzoefu tu Kuna saa alichuchumaa ikawa anacheki kama anaweza kuendelea.
Samatta alikuwa wa moto sana ila viungo hawakumlisha mipira vizuri Mudathir acheze next match japo kipindi kimoja.
Morocco tuwachezee kama jinsi tulicheza na Algeria timu nzima ikabe kwa nguvu kwa dakika 90 hatufungwi.
Otherwise hongera sana Taifa Stars jezi ya njano na blue inatubeba sana!