FT: Niger 0-1 Tanzania. Kufuzu Kombe la Dunia. Novemba 18, 2023

Match haijapewa uzito stahiki.., kila mahali watu wamekomaa na mabango ya Yanga, nimeshajua nini kinadumaza mpira wa bongo. Ni simba na Yanga. Maana wanapika wachezaji wa kigeni wanaoenda kuzipaisha nchi zao, huku sisi tukidumaa
Sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…