Ni hesabu ndogo tu Yanga iliweka kikosini wachezaji 3 na Simba 1 Taifa Stars ikashinda nikasema ndo maana Simba walipigwa khamsa 5G🤪Leo Yanga imecheza na Niger...?
Hiyo siyo ligi,ugenini unavizia walau point,siyo unakimbia tu Kama kuku alokatwa kichwaTaifa stars hawatii moyo kabisa kuwatazama, hapa usilaumu watu wakulaumiwa ni tff kushindwa kua na mipango ya kueleweka. mwisho wake timu imepoteza mvuto.
Acheni usimba na Yanga Kuna mchezaji yupi Kwa Sasa anamzidi MnongaHuyu haji Mnoga anakimbiakimbia na kuanguka hovyo Kama mtoto hajui Hata kukwepa poor stamina poor fitness inamfanya Achoke hoi Kama amekimbia maili 300!
Amemuangukia Job na kumuumiza bila sababu yoyote .
Shauri ngozi nyeupe ndiyo maana kocha anampanga lakini Kiwango kidogo kuliko wachezaji wa ligi ya Tanzania , nafuu Hata wachezaji wa Ihefu au kmc .
Inasemekana anachezea timu ya daraja la nne huko England .
Fei Toto mzito amenenepa hana speed na uchu wa mashambulizi na mashuti kama zamani
Kwani wao ni nani Kuna majitu yamejipanga kushangilia Morocco na tutawafunga Kama Waarabu wenzao Tanzania Sasa hivi tunaogopwaHapana bora tufike we hutaki
kuona maguire akimshangaa kibu D uchezaji wake[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ngapi ngapi matokeoKuna jamaa ilikuwa naangalia naye mpira alikuwa anasinzia
kwani tumeanza leo? Miaka 59 sasa toka tuwe Tanzania.Hata tulipo anzia tumejitahidi.
TFF NI SimbaNamba 9 pia anapwaya sijui kwanini mzize hajaitwa
Tukiongeza mazoezi ya pumzi na kukaba tukashikilia bomba hatufungwi na Morocco, ila tukifunguka tutapigwa nyingi. Lazima tuwaheshimu, faulo nje ya box hazitakiwi kabisa. Hawa mpira wao kama waarabu wengine hawana jipya na hawajui tunachezaje itatubeba!Kina Ashraf Hakim, wameshafika Dar tayari
Hii ni timu ya Taifa kaka, hatuwezi kusajili twende nao hivo hivo.Pamoja na ushindi lakini hiyo timu inasikitisha sana kuna watu humo ndani ni viande kichizi yani hakuna mahali itafika inakatisha tamaa sana kuna wachezaji najiuliza walifikaje huko walipo
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Tupo kundi moja na DRC?Kwenye kundi letu wangejituma kidogo tu,ukiachana na Morocco,wengine wote ni wa kawaida sana. Kwa sasa sisi tunaweza kuwa level moja na Zambia.
Nimeangalia mechi ya DRC na Zambia. Hawa DRC wepesi mno. Hapo za kuwekana sawa inatakiwa iwe Zambia na Moroco tu. Wachezaji wakikaza kidogo tu hawa Niger ni wetu hawa,inatakiwa tuwatupie nje,ndani. DRC pia kwa walivyo sasa tuwatupie nje,ndani. Hapo inatakiwa wakija Moroco tupige nao patulo sale. Kwao acha watufunge. Tupambane na Zambia kwao sare,hata kwetu tukipata nao sare.
Hapo tayari tutakuwa tumemaliza na point 11[emoji3581] . Tutakuwa tumepita nafasi ya pili. Hata tukiangukia nafasi ya 3,kwa kundi letu ksbb ziko 5 maana yake timu ya 3 kuna timu itacheza nayo best rooser mtoano ndani na nje.
Kizuri zaidi timu sasa kutoka Afrika zimeongezwa nafikiri zitakuwa kati ya timu 9 au 10 hapo. Kwa hiyo sidhani kama tutakosa. Kocha kama mjanja waangalie sana mechi za DRC na Zambia,maana huko kuna point zetu wachezaji wakiongeza moto kidogo tu
Haiwezekani. Yaani ili mchezaji akue anahitaji mechi mara kwa mara. Karibu kila week. Tena sio mechi tu. Mechi zenye ushindani. Sasa team etinikae tu ikisubiri game za kimataifa. Mtakuwa mnakula khamsa kila game.😅Wakuu hivi haiwezekani kuwe na timu ya taifa ambayo haitokani na wachezaji wa kwenye vilabu tofauti ili kuwe na mda wa kutosha wa kujiandaa,au club iitwe taifa stars inashiriki ligi pia ila wachezaji wa ndani tupu na gharama ya kuendesha itoke kwa TFF au wamtafute mdhamini, labda tutatoboa, kuliko kuleta sura jipya kila mechi
Wewe hizi taarifa za best loser umezitolea wapi? Africa tunapeleka timu 6 tu na makundi yapo 6 tu.Kwenye kundi letu wangejituma kidogo tu,ukiachana na Morocco,wengine wote ni wa kawaida sana. Kwa sasa sisi tunaweza kuwa level moja na Zambia.
Nimeangalia mechi ya DRC na Zambia. Hawa DRC wepesi mno. Hapo za kuwekana sawa inatakiwa iwe Zambia na Moroco tu. Wachezaji wakikaza kidogo tu hawa Niger ni wetu hawa,inatakiwa tuwatupie nje,ndani. DRC pia kwa walivyo sasa tuwatupie nje,ndani. Hapo inatakiwa wakija Moroco tupige nao patulo sale. Kwao acha watufunge. Tupambane na Zambia kwao sare,hata kwetu tukipata nao sare.
Hapo tayari tutakuwa tumemaliza na point 11[emoji3581] . Tutakuwa tumepita nafasi ya pili. Hata tukiangukia nafasi ya 3,kwa kundi letu ksbb ziko 5 maana yake timu ya 3 kuna timu itacheza nayo best rooser mtoano ndani na nje.
Kizuri zaidi timu sasa kutoka Afrika zimeongezwa nafikiri zitakuwa kati ya timu 9 au 10 hapo. Kwa hiyo sidhani kama tutakosa. Kocha kama mjanja waangalie sana mechi za DRC na Zambia,maana huko kuna point zetu wachezaji wakiongeza moto kidogo tu
Huyu kachanganya Congo na DR CongoTupo kundi moja na DRC?
Team yake mama ni potmouth iko league one England. Daraja la tatu.Huyu haji Mnoga anakimbiakimbia na kuanguka hovyo Kama mtoto hajui Hata kukwepa poor stamina poor fitness inamfanya Achoke hoi Kama amekimbia maili 300!
Amemuangukia Job na kumuumiza bila sababu yoyote .
Shauri ngozi nyeupe ndiyo maana kocha anampanga lakini Kiwango kidogo kuliko wachezaji wa ligi ya Tanzania , nafuu Hata wachezaji wa Ihefu au kmc .
Inasemekana anachezea timu ya daraja la nne huko England .
Fei Toto mzito amenenepa hana speed na uchu wa mashambulizi na mashuti kama zamani
Ili tutoboe tunahitaji sare mbili na morokoTuko Group E na,
Niger 🇳🇪
Morocco
Zambia
Congo
Kwa mpira huu hatutoboi.
haji mnoga,ni mchezaji mzuri sana ni makosa tu ya kimchezoKuna huyu beki wa kati kati sijui anaitwa nani yaani garasa tupu bute kabisaa kampasia mpira adui ndani ya box pia anachojua yeye ni kirudisha mpira kwa kipa kidogo achomeshe mara nne
Ndio. Kuna Morocco,Zambia,Niger na DRC na Tz timu 5Tupo kundi moja na DRC?