FT: Nusu Fainali ASFC Cup: Azam FC 2-1 Simba SC : 07-05-2023, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara

Kipa namba mbili au moja
 
Umemsahau
Okwa na
Akpan
Hawa wachezaji nane wa Kigeni wameisha kiuchezaji. Kwa sasa ni wasubiri mshahala tu wa MO.
 
Mkuu samahani sana, umesema uongo!

Unasema Thimba hajachukua kikombe chochote? Si kweli!

Thimba ana kombe la Mapinduzi moja, kombe la kuifunga Yanga la pili na makombe mawili ya kufa kiume moja dhidi ya Wydad na jingine dhidi ya Dube wa Azam Leo!

Utamaduni Cup 🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…