Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Marudio ambayo nyie makolokocho mmeshindwa kuyarudia..!! Mtani Kalpana, Prince Dube anakusalimiaTambeni Utoo tambeni ila yote ni marudio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marudio ambayo nyie makolokocho mmeshindwa kuyarudia..!! Mtani Kalpana, Prince Dube anakusalimiaTambeni Utoo tambeni ila yote ni marudio
Kwa hiyo sio kufika nusu fainali tu?Asa hizo 5.8 B mshabiki zina msaidia nini? Mshabiki furaha yaeke nj timu yake kuchukua makombe
Hivi jana hakuwepo pale kusini?Huyo Dube ndo nani?
Kibu D mkandaji anakusalimia pia
Sasa nyie mautopolo tungeyarudia nyie mngepata wapi??
Hapana lazima ufike mwisho wa mashindanoKwa hiyo sio kufika nusu fainali tu?
Sikuwepo mie...Hivi jana hakuwepo pale kusini?
Una uvumilivu wa hali ya juu mbona kuhama ni rahisi sanaSikuwepo mie...
Unaleta tu page twa Facebook hapa kwenye mambo serious'Kwahio'
Tumuenzi Luc Eymael
Ukiona mtu anaehamahama mahali hata iwe nyumba kila mara..ujue hajiamini..hana uvumilivu...kigeugeu..hana malengo...na hana upendo wa kweli...sasa mimi hizo sifa sina...Una uvumilivu wa hali ya juu mbona kuhama ni rahisi sana