FT: Nusu Fainali ASFC Cup: Azam FC 2-1 Simba SC : 07-05-2023, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara

FT: Nusu Fainali ASFC Cup: Azam FC 2-1 Simba SC : 07-05-2023, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara

Simba akichukua ubingwa wa ligi kuu kwa namna yogote ile nitaamini 100% kuwa mpaji ni Mungu na si bidii ya mtu.
Mungu hawezi kukupa kitu bila bidii.Unafanya kwanza jitihada ndo mengine yanawezekana.Sasa simba kwajinsi unavyoiona ina jitihada gani zakuchukua huo ubingwa mechi zenyewe zimeshaisha.
 
Simba mwaka huu, ilikuwa mbovu' ikiwa na wachezaji zaidi ya asilimia 70, wasio na viwango na wakawaida sana..msimu ujao inabidi kusuka timu upya, Ili wasije Kaa miaka 5 pasipo kuwa timu yenye tija itakayoweza kurudi kwenye u ora na kunyakua ubingwa......Tusidanganyane timu ilikuwa kikosi chote cha Simba mwaka huu, kulikuwa kibovu na afadhali mwaka Jana...
Tatizo la simba linaanzia kwenye menejiment ya timu.wachezaji ni hawa hawa wanaochezaga nakupata matokeo ila ukutazama vizuri utaona iko shida uko kwa maboss wao.
 
NBC PL bado mbichi. Mechi 3 zilizobaki tunashinda zote, Uto mkipoteza 1 na kutoka sare 2, thithi kolokolo tutakuwa mabigwa kwa goals difference.
Mahesabu unayopiga unaona kabisa hayawezekaniki 😅😅😅
 
5.8 ya wapi wewe acha uongo leta reliable source hapa
1683366135527-png.2611953
 
Nilimuangalia CHAMA mechi 3 mfululizo ( derby, Wydad- dar + Morroco.
Ni kama amechoka kimwili. Nadhani alitumika mfululizo sana..
Mechi KUBWA kama ya leo alihitaji kuanzia benchi..( si kwamba ni mbaya , ila alihitaji kupumzika..
Nadhani kocha alihofia pressure ya washabiki ambavyo hali aliikuta... Ila nashangaa kutotumika kwa phiri..
Ila kwa yote simba ilitumia energy nyingi ....i kama SIMBA players wamekuwa demoralized na matokeo ya ACL....
Kocha mlimwambia achague kuingia kwenye mfumo wa chama au chama aingie kwenye mfumo wa kocha

Chama akawa mshindi ilibidi kocha aingie kwenye mfumo wa chama
Ili kutowakera mashabiki wa simba watoto wenye tabia za junior

Chama kocha akimtoa kocha anafukuzwa acha achezage
 
Back
Top Bottom