Mungu hawezi kukupa kitu bila bidii.Unafanya kwanza jitihada ndo mengine yanawezekana.Sasa simba kwajinsi unavyoiona ina jitihada gani zakuchukua huo ubingwa mechi zenyewe zimeshaisha.Simba akichukua ubingwa wa ligi kuu kwa namna yogote ile nitaamini 100% kuwa mpaji ni Mungu na si bidii ya mtu.
Tatizo la simba linaanzia kwenye menejiment ya timu.wachezaji ni hawa hawa wanaochezaga nakupata matokeo ila ukutazama vizuri utaona iko shida uko kwa maboss wao.Simba mwaka huu, ilikuwa mbovu' ikiwa na wachezaji zaidi ya asilimia 70, wasio na viwango na wakawaida sana..msimu ujao inabidi kusuka timu upya, Ili wasije Kaa miaka 5 pasipo kuwa timu yenye tija itakayoweza kurudi kwenye u ora na kunyakua ubingwa......Tusidanganyane timu ilikuwa kikosi chote cha Simba mwaka huu, kulikuwa kibovu na afadhali mwaka Jana...
Ndiyo ulikuwa unafahamika pia kama @marumo gallants[mention]Moderator [/mention] FUTENI HUU UZI
Mahesabu unayopiga unaona kabisa hayawezekaniki 😅😅😅NBC PL bado mbichi. Mechi 3 zilizobaki tunashinda zote, Uto mkipoteza 1 na kutoka sare 2, thithi kolokolo tutakuwa mabigwa kwa goals difference.
Akili za kikolo niliziona sehemu humu humu JFMahesabu unayopiga unaona kabisa hayawezekaniki [emoji28][emoji28][emoji28]
Hakuna shida, kule hata ukipigwa, una uhakika wa 5.8 Bkmmk huko watapigwa kama ngoma
Kwa kweeli Mtani. 🤣🤣🤣Hii imeisha mtani, mwendo tumeumaliza mbali na karibu
5.8 ya wapi wewe acha uongo leta reliable source hapaHakuna shida, kule hata ukipigwa, una uhakika wa 5.8 B
Tambeni Utoo tambeni ila yote ni marudioUmemwona kipofu Prince Dube leo..!!?? SUPA SABUUU..!!!
CC Bantu Lady, Kalpana, cocastic, GENTAMYCINE et el.
Uwezo wa simba ndipo ulipoishia. Mbona simba wamekaza Kwa Wydad na kupakatwa huku wakikata miuno na Raja Casablanca. Kilaini mnooooAzam wanajuaga kuikazia Simba tu, lakini wakikutana na Uto huwa wanacheza soft sana
5.8 ya wapi wewe acha uongo leta reliable source hapa
Wewe endeleza kazi huko mamlakani.. ukimliza uje MUM kuongeza Ashki tu. Mana maisha mafupi mnooHakuna hadithi mpya jukwaa la entertainment mnitag jamani...
Hapana, niliombwa tu nilete ushahidi. Tunaweza kuendelea tu na mada kuuAahaaaaa
Mmehamia huku
Kwahio hio ndio reliable source? Rage ni genius
'Kwahio'Kwahio hio ndio reliable source? Rage ni genius
Kocha mlimwambia achague kuingia kwenye mfumo wa chama au chama aingie kwenye mfumo wa kochaNilimuangalia CHAMA mechi 3 mfululizo ( derby, Wydad- dar + Morroco.
Ni kama amechoka kimwili. Nadhani alitumika mfululizo sana..
Mechi KUBWA kama ya leo alihitaji kuanzia benchi..( si kwamba ni mbaya , ila alihitaji kupumzika..
Nadhani kocha alihofia pressure ya washabiki ambavyo hali aliikuta... Ila nashangaa kutotumika kwa phiri..
Ila kwa yote simba ilitumia energy nyingi ....i kama SIMBA players wamekuwa demoralized na matokeo ya ACL....
Unapaswa kua comedian[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mam.ae,kumbe nikitaka kuoa dem wa Kenya napaswa kuangalia hii exchange rateOnyango ana miaka 28 ya Kenya ambayo kwa exchange rate ya sasa Tz inakuwa miaka 52
Asa hizo 5.8 B mshabiki zina msaidia nini? Mshabiki furaha yaeke nj timu yake kuchukua makombeHakuna shida, kule hata ukipigwa, una uhakika wa 5.8 B