FT: Nyasa Big Bullets 0-2 Simba | CAF Champions League (CAFCL) | Bingu Stadium

FT: Nyasa Big Bullets 0-2 Simba | CAF Champions League (CAFCL) | Bingu Stadium

Kama Mgunda kocha mkuu anamwacha msaidizi wake afanye sub. nani wa kulaumu. Timu amepewa Mgunda sio Matola
Sasa ikitokea kocha mkuu kakaza shingo kama unavyotaka ndo zinaanza figisu-figusu kati ya wachezaji na kocha mpya, hili linawezekana kwakua Matola ana influence kubwa kikosi kwakuwa amekaa muda mrefu pale.
 
Hakuna ubaya ila hiyo ni risk

Ni kama kipindi kile Mugalu afunge mabao mawili mechi ya USGN kilichofata akawa anaanzishwa kila mechi halafu zote akawa anacheza hovyo

Kuna mabao mtu unafunga kweli yanaonesha kiwango kimetumika ila mengine ukiyaangalia kabisa unaona ni coincidence tu
Bado Chama asingeweza kutoa Pasi na kufunga mwenyewe. Bocco kakaa sehemu sahihi muda muafaka.
 
Ila nimegundua kuna Wana Simba wengine hawana akiba ya maneno..lawama nyingi zisizo na maana
 
Matola huwa anapandikiza mbegu mbaya sana miongoni mwa wachezaji ikitokea haelewani na kocha mkuu, unless Mgunda akubali kumridhisha matakwa yake (hasa ya upangaji wa kikosi).
Ila uzuri na Pep nae ni mswahili na figisu na njia zake zote anazifahamu. Hapa Matola eidha atamtii kocha mkuu au atatafuta timu mpya.
 
Back
Top Bottom