GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Hakuna maelekezo kuleUtopolo wakijitahidi sana wanaishiaga pts 8!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna maelekezo kuleUtopolo wakijitahidi sana wanaishiaga pts 8!
IKANGALOMBOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!View attachment 3253297
Nakupa na msimamo wa makundi ya CAFCL & CAFCCuendelee kuumia
Igweeeeeeeeeee madunduka wanaweza wasiingize timu. Msimu huu wetu, wajaribu labda ujao 💛💚Kwa pira hili makolo kazi mnayo na bingwa msimu labda mje kuiba jangwani nakala kwa min -me Cc Bantu Lady Shadeeya ephen_ Carleen
Ana goli ngapi mpaka sasa tangu asajiliweIKANGALOMBOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!
Msimu wenu baada ya hersi kwenda pangani kufanya ulozi wa derbyIgweeeeeeeeeee madunduka wanaweza wasiingize timu. Msimu huu wetu, wajaribu labda ujao 💛💚
Wewe msengerema, goli la Messi haliwezi kufanana na huo upuuzi wenuNdio shida ya kuangalia Simba na Yanga tu. Alifunga Messi kichwa safi kabisa mbele ya Ukuta wa Mrefu wa Man Utd wakiongozwa na Rio Ferdinand.
Nchi ina Oyaoya wengi sana.
KWa pesa ya manunuzi aliofanya gharib dhidi ya gsm ni kweli kbsa magoli 3 ni machache sanaNi aibu kwa Yanga kushindwa kuifunga Pamba mabao zaidi ya 3
Kacheza mechi ngapi?Ana goli ngapi mpaka sasa tangu asajiliwe
Sasa umeandika wa nini huyo mchezaji hewa?Kacheza mechi ngapi?
Yanga bingwa.Igweeeeeeeeeee madunduka wanaweza wasiingize timu. Msimu huu wetu, wajaribu labda ujao 💛💚
Sasa tunangoja Machi 8 siku Gharib atakapoinunua Simba!KWa pesa ya manunuzi aliofanya gharib dhidi ya gsm ni kweli kbsa magoli 3 ni machache sana
Uzushi kwa ajili ya makolo kujifurahisha
Naam naunga mkono hojaIgweeeeeeeeeee madunduka wanaweza wasiingize timu. Msimu huu wetu, wajaribu labda ujao 💛💚
Gharib hana uwezo wa kuinunua simba ila hersi ana uwezo wa kufanya ulozi dhidi ya simbaSasa tunangoja Machi 8 siku Gharib atakapoinunua Simba!
Mbona ushindani anaupata azam fc hatuoni kama mnavyopewa magoli ya mbeleko kingine azam media imedhamini uonyeshaji wa mechi zote live na hakuna timu ambayo jezi yake ina badge ya azam media tofauti na gsm na matawi yake kuanzia pamba jiji mpaka namungoHuu umbumbumbu wa makolo unatia kinyaaa Azam anadhamini timu zote za ligi kuu ila hakuna lawama Kwa vile Azam haleti ushindani ila GSM anaye dhamini timu 7 imekuwa anaharibu ligi.