holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Sijawahi kufeli mkuuTishaaa......
ππππππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kufeli mkuuTishaaa......
ππππππππππππ
Hujaeleweka...kuna namna hii mechi inaonyesha
Either yanga ni mzuri sanaa au soka letu lina safari ndefu sana
Kwahiyo huu utabiri umeisaidia timu yako ya mwiko nyuma kufuzu robo fainali ya CAFCL ? nijibu kwanza kabla sijaendeleaView attachment 3253276utabiri wangu umetimia
Sawa Mtani kwa uweza wake tutafika salama. π€Niko poa, tuombe mungu tarehe 8 navunja ukimyaπ€£π€£
Huna akili.Kwahiyo huu utabiri umeisaidia timu yako ya mwiko nyuma kufuzu robo fainali ya CAFCL ? nijibu kwanza kabla sijaendelea
Ila Vincenzo Jr we jamaa kiboko,hizo nafasi za wazi kwenye hii mechi wangezitumia vizuri matokeo yangekua goal 20-50.PAMBA JIJI FCπYOUNG AFRICANS SC
π 28.02.2025 | ποΈCCM KIRUMBA | β±οΈ4:15PM
Karibu kwa update za mchezo wa Leo
View attachment 3252771
Kikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji
View attachment 3252998
Mpira umeanza
Dakika ya 1
Mwamnyeto amefanya madhambi
Dakika ya 6
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 7
Max nzengeli anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 9
Pamba jiji wanapata kona
Dakika ya 12
Pamba jiji wamekosea nafasi ya wazi na wanapata kona ya pili hapa
Dakika ya 13
Dakika ya 90+4
Ndio shida ya kuangalia Simba na Yanga tu. Alifunga Messi kichwa safi kabisa mbele ya Ukuta wa Mrefu wa Man Utd wakiongozwa na Rio Ferdinand.Aziz Ki na ufupi wake anafunga goli la kichwa katikati ya msitu wa mabeki wa Pambaπ€£View attachment 3253254
Umeumia mwiko nyuma jikaze sio kosa letu nyie kutofuzu robo fainaliHuna akili.
Aliyeishiaa makundi CAF cl ni sawa na aliyefika final cafcc kazi kwako endelea kusaka mfanano
Huyu wanamfungishia virago soon
Dah.. ulishiriki kupanga? Si burePAMBA 0 VS 3 YANGA
Utopolo wakijitahidi sana wanaishiaga pts 8!View attachment 3253297
Nakupa na msimamo wa makundi ya CAFCL & CAFCCuendelee kuumia
Hahaha nyota yangu haijawahi kufeli,wakubeti karibuniDah.. ulishiriki kupanga? Si bure