GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Yaan tuogope timu inayoongozwa na mlozi hersi?Tarehe 8 kazi wanayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan tuogope timu inayoongozwa na mlozi hersi?Tarehe 8 kazi wanayo
Hizi timu ndogo hazinaga pumzi yakutoboa dak 90 na nguvu ile ilepamba wameambiwa mkifika dakika ya 75 mulegeze kidogo kakazenu
Kama lile la sele bwenzi vs diarra?Ila ligi yetu ina mabao makali sana aisee.
0 | 3Apostle nini kimetokea? Siyo kila mtu yupo kwenye tv.
Taja matokeo.
Kuna maigizo kuliko yale ya kipini Camara kuurudisha mpira ndani na kijili kujifunga?Tolopo unafurahia maigizo kutoka wapi?
Yaah sure ndio hiyo huitwa uwezo binafsi wa wachezajiMpira bila ujanja hautoboi ipo hivyo
Jana Pamba wamepewa advance tutegemee leo watacheza hadi kukaribia kukata roho ili zile Milioni 100 ziwe stori ya kweli na sio ya kusadiki
Exactly 💯Yaah sure ndio hiyo huitwa uwezo binafsi wa wachezaji
Kuna maigizo kuliko yale ya kipini Camara kuurudisha mpira ndani na kijili kujifunga?
Aziz Ki na ufupi wake anafunga goli la kichwa katikati ya msitu wa mabeki wa Pamba🤣View attachment 3253254
Tarehe 8 usikimbie jukwaa hapaYaan tuogope timu inayoongozwa na mlozi hersi?
Filbert BayiIkangalombo
Daah yaani mnashinda na kutuzomea🤣🤣