kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Duuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh
SawaSio faulo ile,uhuni tu
Kupata vichekesho Kama hivi nibonyeze ngapi.Mmepata kisingizio baada ya kuona dalili za kukosa ubingwa. Subiri tuwanyuke hiyoo tarehe 08 simba iwe rasmi gsm.
Kibu katufungia sana CAF, anatufaa sana huyu. Sowah anacheza na akina KenGold, hajawahi kucheza na Zamalek
Kilio cha mbaazi akikosa maua.Hakuna mechi hapa, next season tff angalieni hili la mdhamini mkuu kudhamini timu zaidi ya moja.
Code utaipata tarehe 8Kupata vichekesho Kama hivi nibonyeze ngapi.
Njoo tarehe 8 kama unajiwezaKibu katufungia sana CAF, anatufaa sana huyu. Sowah anacheza na akina KenGold, hajawahi kucheza na Zamalek
Yes, Arajinga, Inonga, Chama, Manula walipanga kwa ustadi mkubwa sana
Sawa tulia sasaNafikiri zimejaa huko you tube kachungulie kwa muda wako sio game ya miaka mingi ni juzi tu!
Tolopo unafurahia maigizo kutoka wapi?Kolo unaumia kutokea wapi?
Mpira bila ujanja hautoboi ipo hivyoIla hawa Pamba wana kitu, hilo goli la Yanga ni ujanja wa wachezaji tu wala hakukua na mpiga freekick pale. Walimchanganya kipa wakafunga maana mbinu zote zilifeli.
Kama watacheza vizuri wanapata sare.
shaka ondoa!Sawa tulia sasaView attachment 3253186
Kabisa mwanetushaka ondoa!![]()
Kwani kuna mtu alikuambia Kibu hafungi sababu ya gsm? Kibu ana kazi maalumu sio lazima afunge, muhimu timu inapata matokeo