Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Cotton fc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Numbi leo tunashinda ngapi..?All the Best Yanga
Numbi leo tunashinda ngapi..?
Tatu mi naona tunashinda hizoSijui maana mpira dakika 90
Unadhani nimekosea ? Kachimbe history utamjua Yanga Bwanga ni naniNilidhani yanga bingwa kumbe yanga bwanga ni kweli yanga bwanga.
Tulia masta 😀 hapa nakufundisha jinsi ya kutoa update post no 1 kwenye Uzi mwanetu maana wewe huwa hautoi Nini kinaendelea uwanjani mwanetu kuhusu kuogopa sio kweli au wewe mgeni humu mbona mie huwa naanzisha mara nyingi tu hizi nyuzi za live sema niki komaa uwezi kupata hata nafasi na muda mwanetu na WIFI yangu nimelipia kwa hiyo Kila game ya Yanga nitakuwepo online 😎😎😎😃😀Ameanzisha Uzi Kama anakimbizwa sijui aliniogopa???ila kwa vile Uzi unaihusu
yanga sio mbaya all in all Yanga bingwa
Tulia masta 😀 hapa nakufundisha jinsi ya kutoa update post no 1 kwenye Uzi mwanetu maana wewe huwa hautoi Nini kinaendelea uwanjani mwanetu kuhusu kuogopa sio kweli au wewe mgeni humu mbona mie huwa naanzisha mara nyingi tu hizi nyuzi za live sema niki komaa uwezi kupata hata nafasi na muda mwanetu na WIFI yangu nimelipia kwa hiyo Kila game ya Yanga nitakuwepo online 😎😎😎😃😀
HatutakiHakuna mechi hapa, next season tff angalieni hili la mdhamini mkuu kudhamini timu zaidi ya moja.
Inaonyesha ulishauandaa uzi mapema kabisa lakini ulipotaka kuposti tu ukakuta umeshawahiwaSikutaka kuanzisha tu mkuu nililewa mapema
HeheheJana asubuhi alifungua, mods wakapita nao🤣
Ndo kawaida yakeJana alitupeleka baadhi yetu chaka 😀
Huyu miyeyusho sana afu eti anasema namuogopa 😃😀😀Huyo hajui kuanzisha nyuzi za mpira bora tu angebaki mtazamaji. Huyo na surely wanaboa sana kuleta ukiherehere kuanzisha nyuzi huku updates hawatoi. Raha ya uzi wa mpira updates na utani wa hapa na pale na sio mleta mada kuongoza kutoa kashfa na masimango kwa majirani
Mwenzio atakuwa anaposti siku tatu kabla ya mechi 😃niki komaa uwezi kupata hata nafasi na muda mwanetu na WIFI yangu nimelipia kwa hiyo Kila game ya Yanga nitakuwepo online