Jamaa ana magoli ya kuvizia muda wote anajizungusha karibia na goli la wapinzani na ndio maana offside nyingi anacheza yeyeMkuu Sisi Si Wategemea Penalty Kama Ambavyo Unaona Mayele Hana Goal La Penalty Hadi Sasa Japo Ni Top Scorer So Far.
Hiyo roho yako ishindwe na ilegee kwa kweli.Kuna roho inaniambia leo Shadeeya atalala na huzuni.
Acha tuone
Goli lalilofunga mayele kwa kupambana ni lile la tiktakaMtazame Mayele Anavyopambana Si Wale Strikers Wako Wanao Kunja Nne Na Wapo Nyoronyoro.
Tuko live arusha tunawakabili mamwelaLeo mnacheza bunju?
Hahah muda utasema.Hiyo roho yako ishindwe na ilegee kwa kweli.
Hahahaaa. Tusubiri tuoneHahah muda utasema.