Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
We ni timu gani?Mimi sio shabiki wa Yanga ila naona kabisa Power Dynamos wakishinda hii mechi.
Umekuja eeeh 😁Mikia imefungwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tumepigwa kimojaMbona mzozo?
Mhhh acha utani...Kwa mpira huu wa simba jiandaeni kisaikolojia hapa kutakuwa 2:0
Simba wanakabia machoooPia tukumbuke marudio ni chamazi sio kwa mkapa yaani Wachezaji wa simba ni wangese kweli hatuoni Mali IKIKAA mguuni Hawa power dynamoo sio wa kutisha mpaka tucheze kingese ngese hivi.
Nilikuwepo nauliza mzozo wa uwanjaniTumepigwa kimoja
Hatujaenda Rwanda kutalii, mwarabu anapigiwa nusu uwanja. Pambaneni na hali zenu!Uto huko hali vipi?
Karibu KigaliUzi utajaa kijani na njano muda si mrefu...