Utaumiza kichwa. Hao hata maana ya pre season hawajui. Wanadhani kufungwa ndiyo mwisho. Hawajui usemi wa wahenga kuwa "inyeshe tupaone panapovuja".Haya ndo matokeo ya kumpa Kocha Zaron Maki, home work
Ukishinda tu kwenye PRE-SEASON utajiona umemaliza kila kitu