FT: Pre-season International Friendly match | Haras El Hoduod 2-0 Simba SC

FT: Pre-season International Friendly match | Haras El Hoduod 2-0 Simba SC

Hizi ndio game za kirafiki zinazotakiwa kuchezwa na Simba SC, hapo kocha naamini amejifunza mambo mengi kwa timu yake.
 
Nasikia kocha wao anasingizia uwanja mbovu huko kwa farao, anaujua mkwakwani kweli?
 
Yes ndo pre season, lazima mapungufu yafanyiwe kazi.
Haraka iwezekanavyo.
 
Klabu ya Simba katika kuendelea kujiandaa na msimu mpya wa 2022/23 leo Julai 27, 2022 imecheza mchezo wake wa tatu wa Kimataifa wa kirafiki dhidi ya Haras El Hoduod, ambapo Simba imepoteza mchezo huo kwa kufungwa mabao mawili kwa bila Jijini Cairo.

Walioanza upande wa Simba SC

1. Beno
2. Israel
3. Gadiel
4. Onyango
5. Henock
6. Mkude
7. Banda
8. Chama
9. Phiri
10. Sakho
11. Okrah

Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
Hii ndiyo simba bila kupuliza madawa vyumbani.
 
Lakini sio kubugizwa na makonda hao wa daladala namna hii.
Na nyie mkacheze na mateja wa mikwambe. Mbna unateseka sanaaaa??? Nini shida shougaaa angu??

Byuti byuti. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na nyie mkacheze na mateja wa mikwambe. Mbna unateseka sanaaaa??? Nini shida shougaaa angu??

Byuti byuti. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo haisaidii sana sana tunachojua huko kwa mafarao mmebugizwa mpaka kanoute karudi kwao 😂😂

Anyway mimi nakujua wewe ni nanii..wala sipo kundi lako usinisingizie bure 😂😂🙌🙌
 
Back
Top Bottom