Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,758
- 6,299
Tupo uwanjani na Manzoki hapaLeteni live updates sasa...
Simba Nguvu moya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo uwanjani na Manzoki hapaLeteni live updates sasa...
Simba Nguvu moya
Inshaallah....mnyama leo atanguruma hapo LupasoSimba ikiwa kamili gado full mkoko itaenda kuwalipia mateso hayo kwa Coastal Union ya Tanga. Mechi kuchezwa Saa 1 jioni Uwanja wa B.Mkapa.
Mbona mashabiki wachacheKwa Mkapa kama kawaidaView attachment 2498509
HT: 0-0 na Kuna kila dalili Simba wakatobolewa kipindi cha pili, labda kadi nyekundu ya kipindi cha pili na penati ndivyo vitapeleka ushindi kwa hawa mikiaUpdates please
Tawi la mti gani[emoji848][emoji848]Hivi hii timu ndio ina makocha wanne? Mbona ni mbovu sana? Yaani wanacheza na tawi lao ila hawana hata mbinu za kufunga? Si wampigie cm Mayele awafundishe jinsi ya kuwafunga coastal
Walete live update wakati sawa kubwa kawa mtumishi hewa uwanjani, wakati huo baleke akizunguka na kuruka ruka tu kama bisi uwanjani🤣🤣Leteni live updates sasa...
Simba Nguvu moya