Habari yako bossHT: 0-0 na Kuna kila dalili Simba wakatobolewa kipindi cha pili, labda kadi nyekundu ya kipindi cha pili na penati ndivyo vitapeleka ushindi kwa hawa mikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari yako bossHT: 0-0 na Kuna kila dalili Simba wakatobolewa kipindi cha pili, labda kadi nyekundu ya kipindi cha pili na penati ndivyo vitapeleka ushindi kwa hawa mikia
Alikua anaotaHabari yako boss
Mm mpira wa leo sikutaka uisheeeDaah! Afadhali
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Turning za kibu ni kama mikimbio ya musonda.
Ni kweli tulikuwa tunateseka Tena sana ila ni miaka kama miwili imepita. Kwa Sasa we are Unstoppable... Utopolo sio Neno Tena linaloweza kumuumiza mwana Yanga, wenye mateso lazima muwe ni nyie maana tumewanyang'anya makombe yote huku tukiwanyanyasa ndani na nje ya uwanja Kwa kandanda maridadiii watoto wa mjini wanaita [emoji897][emoji897] football...Tawi la mti gani[emoji848][emoji848]
Uto mnateseka sana, huyo kocha hana Pre Season na timu, muache kelele.!!
🤣😂🤣 Umeangalia mpira kweli wewe au unawauza tu wenzioBoli limetembeaa...Chama ktk ubora wake kipindi cha pili
Kuna watu huwa wana nyota ya kupendwa ila wanakuwa na uwezo mdogo, hii inatokeaga sana. Inawezekana nje ya uwanja anachangamka vizuri na wenzie na ni msikivu kwa makocha.Iv wanasimba wenzangu naomba mnijibu
Kibu kocha yule wa madrid alimtaka
Akaachiwa team matola akawa anampanga
Akaja yule kochwa wa shisha aliyemkataa chama kwamba yuko slow akataka kibu ndo awe anacheza
Tukamfukuza akabaki matola bado akampanga kibu
Akaja Mgunda majeans bado anamtaka Kibu
Amekuja huyu mbrazil bado anamtaka kibu
Leo Mgunda pia kampanga kibu
Iv yawezekana kibu ni mchezaji mzur sana ila sisi mashabik ndo hatujui mpira au? Maana me simpend ila makocha ambao wanajua mpira wanamuelewa
Shida ni Kibu au sisi mashabik?
Iyo ndio mechi pekee ambayo Mayele hakuwafunga coastal union, Kwa taarifa Yako tu Mayele amecheza mechi tano dhidi ya coastal uniun na amewaweka mechi zote nne za ligi nje ndani na kawaweka goli 6 on the process... Mpe hongera zake bro[emoji122][emoji122][emoji122]Muliwatoa kwa penalt hawa muliomba mpira uishe kwenye michuano hihii na mayele wenu alikuwemo
Mpira hauchezwi uvunguni mkuu. Kibu sio mchezaji wa mpira. Labda kama anaingizwa kwa kazi nyingine sio kuchezaIv wanasimba wenzangu naomba mnijibu
Kibu kocha yule wa madrid alimtaka
Akaachiwa team matola akawa anampanga
Akaja yule kochwa wa shisha aliyemkataa chama kwamba yuko slow akataka kibu ndo awe anacheza
Tukamfukuza akabaki matola bado akampanga kibu
Akaja Mgunda majeans bado anamtaka Kibu
Amekuja huyu mbrazil bado anamtaka kibu
Leo Mgunda pia kampanga kibu
Iv yawezekana kibu ni mchezaji mzur sana ila sisi mashabik ndo hatujui mpira au? Maana me simpend ila makocha ambao wanajua mpira wanamuelewa
Shida ni Kibu au sisi mashabik?
[emoji2][emoji2][emoji2] kwa kwel sisi washabiki wengine tukimuona kibudenga anaingia hua tunafurahi sanaAnapiga pembeni kabisaaa au ni mwehu?
Kibu anaboa sana! Anapiga hovyo hovyo tuIla Kibuuuuuuuuuuu uwiiiii
Uyo ni shabiki maandazi[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] Umeangalia mpira kweli wewe au unawauza tu wenzio
Nilikua kuqnzia dkk ya 46🤣😂🤣 Umeangalia mpira kweli wewe au unawauza tu wenzio
Ww ni bumundaUyo ni shabiki maandazi[emoji23][emoji23]