Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Tunamsubiria Al mwarabuHu
Huo mwiko utakua una enjoy sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunamsubiria Al mwarabuHu
Huo mwiko utakua una enjoy sana
Kumbe wewe chama langu?Tunamsubiria Al mwarabu
Waambie haoooooooHakuna wa kuipunguza nguvu yanga
Hiyo picha ya kwenye profile yako kama ni wewe aiseeh 😋Yanga dhaifu sana. Sipati picha huko mbeleni aisee. Naikubali Simba kwa sasa ipo good good
Kwani ajabu ni ipi hapo mechi ya 50 unbeatenUtopopo wanachekeshaga jamani huwaoni mechi ikiaanza mpk wafunge kimoja ndo utawaona sasa.
Aliichomeka simba ngapi.kama rahisi ifungeni .manenoooo kama ya kwenye vijiweYanga dhaifu sana. Sipati picha huko mbeleni aisee. Naikubali Simba kwa sasa ipo good good
Mtapigwa kama ngomaTunamsubiria Al mwarabu
Acha kupotoshaKwani ajabu ni ipi hapo mechi ya 50 unbeaten
Unalalamika nini sasa?Ila mwanzisha sired hujawatendea haki utopwizo. Yani mbona ukaishia njiani au uliona hamna hatrick?
KimeumanaUnalalamika nini sasa?
Usipanick mkuu mchezo hauitaji hasira kuna siku na nyie mnatunanga hivi hiviAliichomeka simba ngapi.kama rahisi ifungeni .manenoooo kama ya kwenye vijiwe
Unaongoza ligi bado una lalamikaKimeumana
Wapi nimelalamika?.mbona kama sikuelewi hiviUnaongoza ligi bado una lalamika
Wanajua fika hiyo nafasi siyo ya kwao. Ndiyo maana hawana amani.Unaongoza ligi bado una lalamika
Nafasi ya nani? HHa haa unataka kusema ya nani?Wanajua fika hiyo nafasi siyo ya kwao. Ndiyo maana hawana amani.
Singida big stars Jana wamepwaya sanaNani anaangalia Azam na Singida