Huyu mmakonde mpira wa Kiarabu umemshinda?......karibu tena msimbazi miquissoneSimba wakatili sana, pamoja na kudoda kwa siku ya mwananchi wakapigilia na msumali wa miquissone mdororo ukawa plus plus [emoji23]
Sahihi kabisaMayele ni mwamba, Musonda aendelee kujituma ndio anaweza kufika level za Mayele, hili liko wazi Mayele apewe heshima yake.
Yaaan acha kabisa yanga msimu huu huna haja ya mbundendeHii ndio yanga yani.....[emoji172][emoji169]
Tunawafundisha maana ya pre season hawa wapiga kelele, wa ukoloni.Naona kimeingia kikosi kingine
Ndo ngapi mkuu.?HII NDIO YANGA!!
Tunawapa muda kwani hatuwajui nyieHater on one and two
Kula like kwanzaMPAKA KIPINDI CHA KWANZA KINAISHA
METACHA 6/10
KIBABAGE 8/10
JOB 7/10
MWAMNYETO 7/10
KIBWANA 7/10
MKUDE 8.5 /10
MUDATHIR 9 /10
MAX 9.5 /10
SCUDO 7/10
MUSONDA 9/10
NKANE 7/10
SISI NDIO YANGA
Leo tunatangaza hali ya hatari Africa nzima, tunaweza kucheza na timu mbili viwanja tofauti kwa siku moja na muda mmoja.Yanga sasa hizi ni sifa! Mna vikosi vingapi msimu huu!! Mbona mnamtesa hivi kocha wenu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa Max bataokota benyewe kwa nyavu, 23yrs [emoji169][emoji172]View attachment 2696342
Wabongo bwana, yaani kucheza leo tu umeshamsema kuwa anategemea jukwaa. Unashindwa hata kukubali uwezo wake wa kufit kikosini kwa mechi ya kwanza tu?Scudu hana kasi na anategemea jukwaa zaidi ila Max Malipo yuko vizuri kwa leo