FT: Siku ya Wananchi | Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 22, 2023 I Yanga 1 - 0 Keizar Chiefs

FT: Siku ya Wananchi | Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 22, 2023 I Yanga 1 - 0 Keizar Chiefs

Simba wakatili sana, pamoja na kudoda kwa siku ya mwananchi wakapigilia na msumali wa miquissone mdororo ukawa plus plus [emoji23]
Huyu mmakonde mpira wa Kiarabu umemshinda?......karibu tena msimbazi miquissone
 
Kwa Maxi bataokota benyewe kwa nyavu, 23yrs 💛💚
20230722_200344.jpg
 
Klabu imetoka kucheza fainal lakini mashabiki kuingia uwanjani kushabikia timu yao mpaka kuwa waboost.
 
Back
Top Bottom