FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

Ametokaaa kanoute, ameingia Onana.
Ila bora angetoka babacar sarr, doooh
 
Freekick wanapiga Al Ahly nje kidogo na 18
 
Washamaliza game hao ndio maana wanawaacha mruke ruke. Game hii sijajua approach ya Benchika ilikuwa ni ipi? Kwanini hakuna "Natural striker" kwenye hii game.

Sijui viongozi waliwaza nini kuwatoa Baleke na Phiri sasa unaleta mastriker ambao wanakaa benchi. Benchika anatufungisha mechi hii. Tia hao hao mastriker wetu Tia maji Tia maji akina Jobe.
Mmeanza, eti Baleke na Phiri. Acha kuturudisha nyuma. Una uhakika gani kama simba ingeshapata bao iwapo wangekuwepo?
 
Timu inaacha sana space, kama hii faulo ni moja ya hayo makosa. Tau alishaupoteza mpira lakin vile hakukuwa na mtu karibu hadi kauwahi tena.
 

Tatu za wapi?
😁😁
 
Leo udugu utalala na viatu hutoamini waarabu watakachowafanya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee uduguu em tulizana, tazama kabumbu na soka safii, furaha ipo hapaa.
Kuwa mpoleeee.
 
Ni either game iishe 1-1 au Simba Sc apate ushindi wowote ule, vinginevyo tutakuwa hatuna matumaini tena.

Patachimbika vipi ikiwa unaenda ugenini ukiwa nyuma kwa goli moja?
Unaweza ona hivyo lakini bado unaweza ukapa matokeo mfano ya kushinda moja bila mkaenda matuta mkapita.
 
Duuuuh ni kuwa hawa wachezaji wetu hawana nguvu ya kufumua mashutiiiii? Aaaah inakeraaa sasa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee uduguu em tulizana, tazama kabumbu na soka safii, furaha ipo hapaa.
Kuwa mpoleeee.
🤣🤣🤣 soka safi huku unalalamika??
Leo simba hamtoki nawaambia, hapo kisebu sebu na kiroho papo 😂😂😂
Km nakuona ulivyo hutulii
 
Back
Top Bottom