Daah!Aliyepigwa bao moja mpaka sasa
Leo udugu utalala na viatu hutoamini waarabu watakachowafanya π€£π€£π€£Duuuuh kakosaaaa tenaaa babacar sarr, [emoji24][emoji24][emoji24]
Mmeanza, eti Baleke na Phiri. Acha kuturudisha nyuma. Una uhakika gani kama simba ingeshapata bao iwapo wangekuwepo?Washamaliza game hao ndio maana wanawaacha mruke ruke. Game hii sijajua approach ya Benchika ilikuwa ni ipi? Kwanini hakuna "Natural striker" kwenye hii game.
Sijui viongozi waliwaza nini kuwatoa Baleke na Phiri sasa unaleta mastriker ambao wanakaa benchi. Benchika anatufungisha mechi hii. Tia hao hao mastriker wetu Tia maji Tia maji akina Jobe.
ππFT: Al Ahly 1-0 Young Africans | CAF CL | Cairo International Stadium | 01.03.2024
πππππππππ° π #CAFCL β½οΈ Al Ahly FCπYoung Africans SC π 01.03.2024 π Cairo International π 6PMπͺπ¬ 7PMπΉπΏ TimuYaWananchi DaimaMbeleNyumaMwiko Karibu katika mechi ya sita na ya mwisho ya makundi ligi ya mabingwa Africa ungana nami katika Uzi huu kwa update za mechi hii Kila la kheri Yanga SC...www.jamiiforums.com
Tatu za wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee uduguu em tulizana, tazama kabumbu na soka safii, furaha ipo hapaa.Leo udugu utalala na viatu hutoamini waarabu watakachowafanya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
π€£π€£π€£π€£ Uchawi huoHizi timu zinabidi kutolewa zote
Yanga wafungwe
Simba wafungwe
Timu za siasa
Unaweza ona hivyo lakini bado unaweza ukapa matokeo mfano ya kushinda moja bila mkaenda matuta mkapita.Ni either game iishe 1-1 au Simba Sc apate ushindi wowote ule, vinginevyo tutakuwa hatuna matumaini tena.
Patachimbika vipi ikiwa unaenda ugenini ukiwa nyuma kwa goli moja?
π€£π€£π€£ soka safi huku unalalamika??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee uduguu em tulizana, tazama kabumbu na soka safii, furaha ipo hapaa.
Kuwa mpoleeee.