DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Ni kwamba Tunamchapa Nyingi sana Huko Cairo..Ki ukweli sijaumia....sijui kiroho hii imekaaje...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwamba Tunamchapa Nyingi sana Huko Cairo..Ki ukweli sijaumia....sijui kiroho hii imekaaje...
Haya mmeingia nusu fainali ya statisticsStats nzuri sana za Simba mbele ya mabingwa wa Africa... yenye wachezaji 7 wa Timu ya Taifa ya Misri, 2 wa Tunisia, 1 wa South Africa bila kumsahahu Modeste aliyetoka Borussia Dortmund
[emoji23][emoji23][emoji23]Hizi ni Dk 90 za Mwanzo tu....
Moto utakaowashwa Cairo....Ule Wa Moh'D Wa Tano Utasubiri.....!
Kwani mmesahau Uwanja uligeuka Msikiti Kule Morocco Kwa Waydada...
This is Simba......! Nguvu moja
Mbona tumeshinda baby 🥰😁🤣Huyu kaka ni handsome ila hamshindi babe wangu
Utopolo Kesho hamjazi Uwanja...japo ni bure
Kwanza tuanzie hapo....
Ngoja msimu ujao Mangungu afanye usajili wa mshambuliaji hatari mno Coplo Samson Mbangula toka Prisons FC.Kifupi simba tusajili wafungaji wa maana na sio magala ya kila siku
ulisema lazima unawatoe al ahalyKuna Wachezaji wengi wamechezeshwa Defensive Sana
Aende wapiJamani atokee mzee saidoo, huyu anatunyima bao hapaa. Sijui likojeee hata
Tulia 😁🖐️🖐️Na refa wakwao