Tumlaumu kocha kwa kutokumuingiza super sub captain BOKO.leo tumlaumu mchezaji gani jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumlaumu kocha kwa kutokumuingiza super sub captain BOKO.leo tumlaumu mchezaji gani jamani
Daah yan noma sana ila wachezaji wamejitahid ingawa tumefungwa lakin jitihada tumezionaMan of the Match......Kipa Wao...
Waarabu Watatoka Watake Wasitake....
Wote Kateni tamaa,Mimi nitakuwa Wa Mwisho.....Kwa hiki walicho display Wachezaji wangu
Kapombe hachelewi kuja kusema yule Israel anamroga, mtu mzima na watoto anaendekeza ushirikina kama sengePopoma GENTAMYCINE anasema kosa la kapombe ni kuzungumza kwenye press conference
Basi ndio maanaLeo Simba hajala nyama jamani msimlaumu😢😂
Hata wewe ukitaka kocha anaweza kukuingizaTumlaumu kocha kwa kutokumuingiza super sub captain BOKO.
Misri wanakwenda kukalia soseji TU.[emoji3][emoji3][emoji3]Kwa hio misri wanaenda kuchezea offensive sana
Mangungu atamleta mshambuliaji hatari mno Samson Mbangula toka Prisons FCR.I.P Simba SC. Wasajili strikers wa maana msimu ujao
Ushamba huo bintiMuda huu ulitakiw uwe busy kukatikia mboo.. achana na mambo ya Simba..
Wewe huna akili, hiyo ni style Yao ya kucheza away game, subiri game ya Cairo utawakataa hao wachezaji wako.Man of the Match......Kipa Wao...
Waarabu Watatoka Watake Wasitake....
Wote Kateni tamaa,Mimi nitakuwa Wa Mwisho.....Kwa hiki walicho display Wachezaji wangu
Kenge!Usikonde, hawa Wetu.... Mwaka huu tunao hawa...! Lzm tuwachomoe
Ni kwa sababu ulifahamu tangu mwanzo ya kwamba hamna uwezo wa kuwatoa Waarabu kama ilivyo kwa kaka yenu Yanga.Ki ukweli sijaumia....sijui kiroho hii imekaaje...
Mkuu kutumia ID feki isikufanye ukashindwa kuwa na lugha ya staha.Nichukue wakati huu kuwakaribisha kesho kwenye burudani tukufu muda ndo ule ule waliofir*wa watu leo.
Simu ziite
Ni kibamia au?Ki ukweli sijaumia....sijui kiroho hii imekaaje...
Ki kweli ila quality ya wachezaji wa simba ipo chini huwezi kutaka kupanda mlima kilimanjaro kilele cha africa na singlend isee..Daah yan noma sana ila wachezaji wamejitahid ingawa tumefungwa lakin jitihada tumeziona