Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Kwa hio misri wanaenda kuchezea offensive sanaKuna Wachezaji wengi wamechezeshwa Deffensive Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hio misri wanaenda kuchezea offensive sanaKuna Wachezaji wengi wamechezeshwa Deffensive Sana
Hata nguvu sina leo njoo unsaidie bestMuda huu ulitakiw uwe busy kukatikia mboo.. achana na mambo ya Simba..
😂😂 chama anakua free kazi kwisha.Kijiweni karume pale kisugu akitoa maoni 😀
pole mkuu ndio mpira huu, unakuwa unawaza umepita yanga katoka inakuwa tofautiSawa Mwanasheria na hongera sana😂
Huyu kaka ni handsome ila hamshindi babe wanguKila la kheri Al ahly
View attachment 2947619
Mbinu chafu 😂Timu imecheza vizur bahati tu imekosekana, ila Hawa waarabu Wana ujinga mwingi sana jamaa kabebwa kwa machela ka relax kafika nje ya uwanja karuka fasta anataka kuingia tena uwanjani
Simba tutashinda Cairo na kuingia nusu.
Weka kumbukumbu hii sawa.
Washaliwa daku watani😂Hata nguvu sina leo njoo unsaidie best
Hawa ingekua Yanga ndio wanacheza nao kingewapata cha Belouzdad
Tayari kimenuka. 😁Onana aondoke tu Simba
Daaah!Muda huu ulitakiw uwe busy kukatikia mboo.. achana na mambo ya Simba..
Watani walikua bize na mamelodiWashaliwa daku watani😂