FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

Friends of All Ahly tumeshamaliza Kazi yetu na sasa tunabadili uraia na kuwa Friends of mamelod
 
Hii Mechi bado mbichi.....

Zilizomalizika ni Dk. 90 , bado Zingine 90... !

Man of the Match Wao kipa Kawaokoa Leo, Sidhani kama ataendelea kuwa na bahati Second Leg....!

Kwaiyo Utopolo msifosi tufa8....
Acha kujipa matumaini, hatuna mchezaji wa kufunga goli zaid ya kanoute kwenye mipira iliyokufa basi, kwaiyo usitegemee chochote kwenye mechi ya marudiano wakati hatuna mchezaj wa kufunga goli
 
Ila hawa wasemaji pamoja na kuhamasisha ila wanachangia pakubwa kutuaminisha ujinga

Ukisikiliza tambo za Ahmed Ally na kilichofanyika uwanjani ni mbingu na aridhi [emoji23]

Ngoja tusubiri na kesho Yanga
Sasa ulitaka Ahmed au ali kamwe wafunge zile nafas za kina saidoo na wengine walizokosa[emoji16]
 
KWISHA HABARI YAKE.....
 
N


Ndio, uliza Zamalek aliyekuwa Bingwa mtetezi Wakati huo,alifanywa nini Cairo ..

Watu Wana Historia zao Bwana...!

Hakuna Kitu Simba Hajawaifanya....Labda kuleta Kombe tu
Mara 800 angekua Yanga Ila Simba hamna kitu anaenda kupigwa km Ngoma
 
Mkimfunga Mamelody nipigwe Ban angalau ya Siku mbili hivi au Wiki
Wewe nitashikiria Bango mpaka YinYang apite na wewe na Mamelodi leo anachinjwa hakuna janja janja moto ni ule ule kijani na njano ngoja mufundishwe jinsi ya kushinda nyumbani sio kushinda na njaa mnaishia kufungwa na wabeba mapipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…