Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Pale sanasana mtaambulia droo tu na ndio mwisho wenu MwakaroboHii Mechi bado mbichi.....
Zilizomalizika ni Dk. 90 , bado Zingine 90... !
Man of the Match Wao kipa Kawaokoa Leo, Sidhani kama ataendelea kuwa na bahati Second Leg....!
Kwaiyo Utopolo msifosi tufa8....
Dar Young Africans 🔥🔥🔥[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tukutanee keshoo, mbona nayo ni sikuu..
Karibu Benjamin Mkapa Ushuhudie Pira Safi Kutoka Kwa Dar Young Africans🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Una Kichekesho kizuri sana
Utawehuka wewe tulia hali yako sio nzuri leoHii Mechi bado mbichi.....
Zilizomalizika ni Dk. 90 , bado Zingine 90... !
Man of the Match Wao kipa Kawaokoa Leo, Sidhani kama ataendelea kuwa na bahati Second Leg....!
Kwaiyo Utopolo msifosi tufa8....
Nadhani mmenielewaNote this: mtanieleawa baadae View attachment 2947659
Acha kujipa matumaini, hatuna mchezaji wa kufunga goli zaid ya kanoute kwenye mipira iliyokufa basi, kwaiyo usitegemee chochote kwenye mechi ya marudiano wakati hatuna mchezaj wa kufunga goliHii Mechi bado mbichi.....
Zilizomalizika ni Dk. 90 , bado Zingine 90... !
Man of the Match Wao kipa Kawaokoa Leo, Sidhani kama ataendelea kuwa na bahati Second Leg....!
Kwaiyo Utopolo msifosi tufa8....
Sasa ulitaka Ahmed au ali kamwe wafunge zile nafas za kina saidoo na wengine walizokosa[emoji16]Ila hawa wasemaji pamoja na kuhamasisha ila wanachangia pakubwa kutuaminisha ujinga
Ukisikiliza tambo za Ahmed Ally na kilichofanyika uwanjani ni mbingu na aridhi [emoji23]
Ngoja tusubiri na kesho Yanga
Achana na kolo,kila mwaka ndio wimbo wao huoAibu kivipi wakati tulitoa sare 1 kwa 1 kwa mkapa.
Aliefungwa kwa mkapa na alietoa sare kwa mkapa nani ametia aibu
KWISHA HABARI YAKE.....Leo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Maandalizi ya timu zote mbili yameenda vyema, kinachosubiriwa ni mchezo rasmi leo 29/03/2024 saa tatu usiku.
Ungana nami katika uzi huu ili kupata matukio mbalimbali yatakayojiri kabla na wakati wa mchezo huo.
Karibu.
==============
Timu ya Simba inatarajia kucheza dhidi ya Al Ahly ya Misri katika Robo Fainali ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, leo Machi 29, 2024
Takwimu zinaonesha hakuna mbabe mpaka sasa, kila upande umeshinda mechi Tatu, hizi ni mechi zilizopita baina ya timu hizo:
24/10/2023 Al-Ahly 1-1 Simba
20/10/2023 Simba 2-2 Egypt
09/04/2021 Al-Ahly 1-0 Simba
23/02/2021 Simba 1-0 Al-Ahly
12/02/2019 Simba 1-0 Al-Ahly
02/02/2019 Al-Ahly 5-0 Simba
29/08/1985 Al-Ahly 2-0 Simba
22/08/1985 Simba 2-1 Al-Ahly
---
View attachment 2948421Mchezo umeanza
Kikosi cha Simba kilichoanza
View attachment 2948432
Kikosi cha Al Ahly kinachoanza
3' Simba wameanza wakiwa na presha ya kushambulia, wamepata kona
5' Gooooooo Al Ahly wanapata goli baada ya safi ya ulinzi ya Simba kujichanganya
11' Kasi ya Mchezo imepungua, AlAhly wanalinda lango lao muda mwingi
13' Simba Wana Kona tatu, wageni Wana Moja
16' Al Ahly wanapata Kona ya pili na ya tatu ndani ya dakika moja
21' Al Ahly wanafanya mashambulizi ya kushtukiza na yanakuwa hatari
30' Mapumziko ya dakika moja
32' Mchezo unaendelea
40' Saido anakosa nafasi ya wazi
45 ' Mapumziko, Simba wapo nyuma kwa goli 1-0.
MAPUMZIKO
Kipindi cha pili kimeanza
49' Babacar anapata kadi ya njiano kwa kucheza faulo
55' Inonga anapata kadi ya njano kwa kucheza faulo
60' Mchezo bado ni mgumu kwa Simba wanatengenesa nafasi lakini haizitumiki vizuri
70' Simba wanaendelea kumiliki mpira lakini nafasi ya kufunga bado ni ngumu
75' Mapumziko ya dakika moja kwa timu zote.
77' Saido anapat nafasi kadhaa za wazi lakini hazitumii vizuri
80' Simba wanaendelea kutengeneza nafasi lakini wanashindwa kuweka mpira wavuni
90' Zinaongezwa dakika 5
Full Time
We ngojea shemeji akusikie usimlaumu akikutoa talaka mkononi😬😬😬Nashangaa huyo anayesema najiuza kisirisiri.
Sio kisirisiri, najiuza haswaaa.
Kila mwanamke ana namna ya kujiuza.
Tuko kwenye mechi, tusubiri dk 90.
Sijali wala nini!!!
Cocastic hivi ni weweee au nakufananishaa!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
AaahaaaTimu gani iliyoshangalia match ya Robo fainali club bingwa Africa kwa muda mfupi zaidi?
Mkimfunga Mamelody nipigwe Ban angalau ya Siku mbili hivi au WikiKaribu Benjamin Mkapa Ushuhudie Pira Safi Kutoka Kwa Dar Young Africans
Young Africans 3 - 0 Mamelod
Mara 800 angekua Yanga Ila Simba hamna kitu anaenda kupigwa km NgomaN
Ndio, uliza Zamalek aliyekuwa Bingwa mtetezi Wakati huo,alifanywa nini Cairo ..
Watu Wana Historia zao Bwana...!
Hakuna Kitu Simba Hajawaifanya....Labda kuleta Kombe tu
Wewe nitashikiria Bango mpaka YinYang apite na wewe na Mamelodi leo anachinjwa hakuna janja janja moto ni ule ule kijani na njano ngoja mufundishwe jinsi ya kushinda nyumbani sio kushinda na njaa mnaishia kufungwa na wabeba mapipaMkimfunga Mamelody nipigwe Ban angalau ya Siku mbili hivi au Wiki
Mjamzito bao 1 tu mpaka MimbaCocastic hivi ni weweee au nakufananishaa!?
Unaendeleaje lakini mamaa!?