Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
ubuntu botho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga washafukia vitu...Tobaaaaaah wee, huko juu kuna nn? Mbona kupaishaa tyuuh, aaaah
Jamaa wanapiga pasi zimeungwa na nazi 😅Tulia wewe
Viungo wetu wanakatika sana.
Em huko bhanaa wee.Ndivyo alivyofundushwa na Benchika[emoji1787]
Hapana simba wamepanic sana....Iko wazi, Simba hawajajua kuzicheza mechi kubwa bado. Tuambiane ukweli.
Juu ndio kuna goli hukoTobaaaaaah wee, huko juu kuna nn? Mbona kupaishaa tyuuh, aaaah
Lawama kwa Yanga tena!?Yanga washafukia vitu...
Kingine wachezaji wetu hawajiamini sijui kwanini
Nakuaminia.....kukata tamaa mwiko🤣Viungo wetu wanakatika sana.
Babakar na Ngoma wamepoteana pale kati.
Utulivu kidogo unahitajika, tutashinda hii game Inshallah!!
Vitu vya robo fainali utopolo hawaja zoea wacha tuwaoneshe namna ya kufungwaAl ahly kapaki bhasi Anauoga sana
Hmna wachezaji wa simba Naona tu kama Wamelanic na wanauoga sanaLawama kwa Yanga tena!?