FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

Simba huko mbelee wachezaji hawana utulivu, na hawajui nn wafanyee, wanakeraaa sanaa.
 
Kwa jinsi wanavyocheza Al ahly kwa uangalifu mkubwa ingekuwa ji Yanga hapa wangeshapigwa tatu hadi sasa.
 
Kwanza mimi.mwenyewe Nina Asili ya Kiarabu..
"أنا عربي وأحب نادي سيمبا الرياضي، على الرغم من أن الأهلي هم إخوتي تمامًا."

 
Back
Top Bottom