Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Saido huwa ni mfungaji wa magoli ya penalty.Nimekwambia Saidou wa kuangalia chini hawezi funga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saido huwa ni mfungaji wa magoli ya penalty.Nimekwambia Saidou wa kuangalia chini hawezi funga
Dah Ni kosa kubwa sanaDR Mambo Jambo Bado unabisha? Ile nafasi pale ya Saidoo mtu unakosaje kwenye mechi kubwa kama hii?
UlitokaMbona mpira haujatoka lakini?
Mnawekwa kimoja cha mkwezi, hamna maana nyieSawa ndio tuko kulipambania hilo
Kuleni burudani kwanza 😃
Ngojea tuone mpira dakika 90.Wa Dodoma.
Sitanii.
Hakuna goli watashinda nawaambia.
Half time...Hollaaaaaa!!!
Simba 0-Alh 1
Umesema kweliDR Mambo Jambo Bado unabisha? Ile nafasi pale ya Saidoo mtu unakosaje kwenye mechi kubwa kama hii?
onana anahitajika mtu anayeweza kuingia na mpira mwenyewe had ndani ya Box afu ni mzuri sana kwenye one two naona warabu wanasindwa kukaba one twoHT. Tumecheza vizuri sana. Umaliziaji umekuwa mbovu. Lets wait sec half.
👍 Mkuu.Ngojea tuone mpira dakika 90.
Wewe ni shindikanaa hubakikiKama Simba wakishinda, mje mnibake hakyamungu
Piga haooooooooooooo!!!!!
Kwenye hii game hakuna mchezaji ambae anaitendea haki hii game kama Kibu.Kibu kafakisha kinoma yani
Hata kwa msamaha wa magoti siwezi kumsamehe dhambi ile
Huenda akaingia mapema 2nd half.onana anahitajika mtu anayeweza kuingia na mpira mwenyewe had ndani ya Box afu ni mzuri sana kwenye one two naona warabu wanasindwa kukaba one two
Mpira dk 90.Wewe ni shindikanaa hubakiki
Kwa jinsi wanavyocheza Al ahly kwa uangalifu mkubwa ingekuwa ji Yanga hapa wangeshapigwa tatu hadi sasa.