Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kuna dk 90 uarabuni.game bado mbichi...twende 2nd half
KabisaaaaaaaShida hii simba kikosi cha kufumuliwa hiki beki zimeisha kiwango na viungo wamenoki.
Ila yule muhasibu wetu alinishushua hapa😂😂😂.
Simba hata akija Luis Enrique aliyeipatia trible barcelona 2015 simba kwa kikosi hiki hata kombe la ndondo cup hachukui.
Namfahamu vizuri sana toka utotoni na kitambo sijamwona, nashangaa leo kumwona anachambua mpira.Kwa nini unamuita bwana?
Shida sio waarabu kuchoka, tatizo ni kwamba hata hizo nafasi tunazopata kutokana na uchovu wao bado hatuwezi kuzifanyia kazi.Magoli yapo washachoka hawa warabu
Kosa la Chama ni nini hadi sasa? Ile pass aliyompa Saidoo uliiona au unaleta unazi?Huyu Chama ndiyo wakumlinganisha na Aziz ki?? Uchafu 🚮🚮🚮
FULL TIME:Game hii hata ikibaki hivi bado Cairo patachimbika.
Kwani kubakana ni siri?Tunabakaje Malaya Kama wewe? Dianna bhana, ndio wajiuza kisiri Siri eeh
Umechambua kipinzani sana mkuuHamna goli, hovyo tu!!
Unaelekea kutimia...maana moja tayari tunasubiri hizo 4 zakoNdoto niliyoota imenishtua. Maana haya ndo matokeo yake.
4:1
Modesta aliye failure Bundesiliga au yupiTunasika au tunasafirisha?, bado Gori moja la Modeste na mchomaji ni Henock[emoji12][emoji12]
Au kushinda nyumbaniLabda kushinda njaa
Tuseme ukweli tu kati ya Al Ahly na Simba nani wametepeta kipindi cha kwanza?Imetepeta kazi ilikuwa nzito sana