DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Sasa bhasi tusawazishe kwenye hii kona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu waingie wakina nani wenye afadhali?Hili li saidoo lilipaswaa kutolewaa mapemaa kabisaa, hata babacar sarr nae alipaswa kutolewa mda tyuuh.
Jirani ntakuchapa 🤣🤣🤣Wengine watapata usiku wa manane 😂
Labda kona ya KitandaSasa bhasi tusawazishe kwenye hii kona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Hakuna Cha kufanya,VAR inaenda kutoa penati [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbonaa mabwakuuu.Naanza kuongea kizulu mapema [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
كيف حالك يا جاري العربي؟شبذلزتنروب سقذطبسية 🤣🤣🤣
Kwa kweliTumetumia nguvu mno kujaribu kurudisha goli. Hapa ni kusubiri dk 90 nyingine huko uarabuni ambazo ni ngumu mara 10 ya hizi za leo.
Waliongia.Halafu waingie wakina nani wenye afadhali?
Wanamaanisha wataenda kufunga huko juu uarabuni sio hapa kwa mkapaLeo huko juu kuna nn? Mbona mpira wanapelekaa huko?
Inakera na kuboa sasa.
84'[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee tulizanaaa em, mbona utafurahi na nafsi yako.
Timu imetota, kila mtu kajichokea.Amekusikia kocha boss.