Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
أنا آسف جدا لأولئك الذين رمزحاله تعبان
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
أنا آسف جدا لأولئك الذين رمزحاله تعبان
Ahly walipaki sana hawakucheza MpiraMakolokolo tumeupiga mwingi sana, Utopolo kesho watatukoma.
Ubinadamu ni kazi Humanity is a work.View attachment 2948600View attachment 2948601
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kijiweni karume pale kisugu akitoa maoni 😀
طيسصسبلاا waarabu wabaya sana udugu 🤣🤣🤣🤣Tukutanee kesho uduguuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sarr yupo sawa ila jobe hamna kitu. Simba haina strikerOnana
Job
Sarr
Ngoma
Chama
Tibazonkiza
Wote wanatakiwa kupumzika Simba isajir wengine
kwa matusi niliyotukana leo kwa magoli mliyokosa, naomba hizi dhambi uzibebe wewe na wanasimba wenzio msimu huu wa Kwaresma na Ramadan,Timu imechoka kweli kweli...
Kwamba bado una matumaini na hawajamaa wamecheza nyuma ya mpira,kwao waachie buster mtawatoa kweli 😀Yes, tumepoteza.....!
Lkn Kwa Margin ndogo......!
Hivyo, bado Zipo Dk 90 nyingine huko
Cairo.......!
Lipo kwenye pipa?Tulia kwanza goli lipo hapa
Makolokolo SC tumeupiga mwingi sana caf champions league 29/03/2024.Onana
Job
Sarr
Ngoma
Chama
Tibazonkiza
Wote wanatakiwa kupumzika Simba isajir wengine
TUMEIZOEA AL AHLY. PAMOJA NA AL AHLY KUTUACHIA GAME TUCHEZE LAKINI MWENDO TIMEUMALIZA.شضيذيادذاعب [emoji52] haya mkakojoe mlale msubiri kesho wanaume wanavyoshuka dimbani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wana thiiiiiiiiiiimbaaaaaaaaaaa [emoji881]
Kila la heri kwetu 💚💛Mwenzio akinyolewa zako tia maji, ngoja tuone kesho itakuwaje kwetu.
Washapigwa kimoja cha mkwezi 🤣🤣🤣🤣Labda watoke kwa mkapa baada ya mechi 😂
😀😀😀Ahly walipaki sana hawakucheza Mpira