Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kariakoo Derby!
Simba Vs Yanga, mchezo wa kukata na shoka. Je, Simba atafuta Uteja wa kufungwa na Yanga mfululizo?
Kwa LigiKuu msimu huu, Simba imecheza michezo 5 ikikusanya alama 13 na Yanga michezo 4
ikikusanya alama 12.
Katika siku hizi za karibuni Yanga imeonekana kupata matokeo Chanya dhidi ya Simba na hii ni kutokana na Quality ya kikosi cha Yanga lakini haiondoi uhalisia kwamba Simba nao wana kikosi kizuri hasa msimu huu ambao wametamba Kusajili vizuri.
Mechi ni Saa 11:00 Jioni katika dimba la Benjamin Mkapa
Live kupitia Azam Sports 1HD, TBC Taifa kwa idhaa ya Radio.
Soma Pia: Refa wa Mechi ya Simba Vs Yanga ni Ramadhan Kayoko
===========================================
Updates:
1’ Yanga wanaanza mpira
4’ Mpira umeanza kwa kasi huku Yanga wakifanya faulo kadhaa kwa Simba
5’ Ateba akiwa yeye na kipa anapoteza nafasi ya kuipa uongozi Simba
10’ Simba 0-0 Yanga
12’ Simba wametawala mechi mpaka sasa huku Yanga wakiwa wanawasoma
15’ Yanga wanafanya shambulizi lakini ukuta wa Simba unakaa sawa na kuokoa hatari
20’ Simba 0-0 Yanga
Mvua imefanya uwanja usiwe vizuri leo
23’ Mpira ni 50/50 timu zote zinashambuliana kwa zamu
25’ Simba 0-0 Yanga
29’ Mechi imepoa bado timu zinaviziana huku zikicheza kwa tahadhari
33’ Mechi imekuwa ya mbinu nyingi sana bado 0-0
35’ Boka anapewa kadi ya njano baada ya kumchezea madhambi Ahoua
41’ Pinpin Camara anaokoa mkwaju uliopigwa langoni mwa Simba na Aziz Ki
45’ Mwamuzi wa akiba anaonyesha dakika 3 zimeongezwa
45+2’ Jean Charles Ahoua anaonyeshwa kadi kwa mchezo usiokuwa wa kiungwana
HT’ Simba 0-0Yanga
45’ Kipindi cha pili kimeanza
Simba wamefanya mabadiliko, Okejepha ameingia na Yusuph Kagoma ameenda nje
47’ Dickson Job anapewa kadi ya njano kwa kumchezea faulo Kibu D
48’ Goli la Kibu linakataliwa baada ya kuotea
50’ Hamza anapewa kadi ya njano kwa madhambi aliyomfanyia Dube
54’ Bacca anapewa kadi ya njano kwa faulo yake kwa Ahoua
60’ Simba 0-0 Yanga
62’ Yanga wanafanya mabadiliko
Dube na Pacome wanatoka huku Mzize na Musonda wakiingia
65’ Mchezo umesimama kupisha beki Hamza kutibiwa
68’ Simba wanafanya mabadiliko Hamza na Mutale wanatoka na nafasi zao kuchukua na Chamou na Balua
72’ Simba wanapata faulo nje, inapigwa na Ahoua lakini inadakwa na Diarra
75’ Yanga wanaongeza spidi kwenye mashambulizi lakini matokeo bado 0-0
79’ Aucho anapewa kadi ya njano baada ya faulo kwa Ahoua
83’ Chama anaingia kwa nafasi ya Aziz Ki
86’ Goaaaaaaaaaaaaallllllllllll
Kelvin Kijili anajifunga
Simba 0-1 Yanga
87’ Mukwala in, Kapombe Out
88’ Simba 0-1 Yanga
90’ Mwamuzi wa akiba anaonyesha dakika 7 za nyongeza
FT’ Simba 0-1 Yanga
Kelvin Kijili akijifunga
Simba Vs Yanga, mchezo wa kukata na shoka. Je, Simba atafuta Uteja wa kufungwa na Yanga mfululizo?
Kwa LigiKuu msimu huu, Simba imecheza michezo 5 ikikusanya alama 13 na Yanga michezo 4
ikikusanya alama 12.
Katika siku hizi za karibuni Yanga imeonekana kupata matokeo Chanya dhidi ya Simba na hii ni kutokana na Quality ya kikosi cha Yanga lakini haiondoi uhalisia kwamba Simba nao wana kikosi kizuri hasa msimu huu ambao wametamba Kusajili vizuri.
Mechi ni Saa 11:00 Jioni katika dimba la Benjamin Mkapa
Live kupitia Azam Sports 1HD, TBC Taifa kwa idhaa ya Radio.
Soma Pia: Refa wa Mechi ya Simba Vs Yanga ni Ramadhan Kayoko
===========================================
Updates:
1’ Yanga wanaanza mpira
4’ Mpira umeanza kwa kasi huku Yanga wakifanya faulo kadhaa kwa Simba
5’ Ateba akiwa yeye na kipa anapoteza nafasi ya kuipa uongozi Simba
10’ Simba 0-0 Yanga
12’ Simba wametawala mechi mpaka sasa huku Yanga wakiwa wanawasoma
15’ Yanga wanafanya shambulizi lakini ukuta wa Simba unakaa sawa na kuokoa hatari
20’ Simba 0-0 Yanga
Mvua imefanya uwanja usiwe vizuri leo
23’ Mpira ni 50/50 timu zote zinashambuliana kwa zamu
25’ Simba 0-0 Yanga
29’ Mechi imepoa bado timu zinaviziana huku zikicheza kwa tahadhari
33’ Mechi imekuwa ya mbinu nyingi sana bado 0-0
35’ Boka anapewa kadi ya njano baada ya kumchezea madhambi Ahoua
41’ Pinpin Camara anaokoa mkwaju uliopigwa langoni mwa Simba na Aziz Ki
45’ Mwamuzi wa akiba anaonyesha dakika 3 zimeongezwa
45+2’ Jean Charles Ahoua anaonyeshwa kadi kwa mchezo usiokuwa wa kiungwana
HT’ Simba 0-0Yanga
45’ Kipindi cha pili kimeanza
Simba wamefanya mabadiliko, Okejepha ameingia na Yusuph Kagoma ameenda nje
47’ Dickson Job anapewa kadi ya njano kwa kumchezea faulo Kibu D
48’ Goli la Kibu linakataliwa baada ya kuotea
50’ Hamza anapewa kadi ya njano kwa madhambi aliyomfanyia Dube
54’ Bacca anapewa kadi ya njano kwa faulo yake kwa Ahoua
60’ Simba 0-0 Yanga
62’ Yanga wanafanya mabadiliko
Dube na Pacome wanatoka huku Mzize na Musonda wakiingia
65’ Mchezo umesimama kupisha beki Hamza kutibiwa
68’ Simba wanafanya mabadiliko Hamza na Mutale wanatoka na nafasi zao kuchukua na Chamou na Balua
72’ Simba wanapata faulo nje, inapigwa na Ahoua lakini inadakwa na Diarra
75’ Yanga wanaongeza spidi kwenye mashambulizi lakini matokeo bado 0-0
79’ Aucho anapewa kadi ya njano baada ya faulo kwa Ahoua
83’ Chama anaingia kwa nafasi ya Aziz Ki
86’ Goaaaaaaaaaaaaallllllllllll
Kelvin Kijili anajifunga
Simba 0-1 Yanga
87’ Mukwala in, Kapombe Out
88’ Simba 0-1 Yanga
90’ Mwamuzi wa akiba anaonyesha dakika 7 za nyongeza
FT’ Simba 0-1 Yanga
Kelvin Kijili akijifunga