Wewe utakuwa unaangalia mechi za marudio za mwaka 2021. Hapo penati zipi unaongelea weweRefa msengerema sijui kelele za mautopolo kuwa huwa anaipendelea Simba ndo awanyime penalties tatu za wazi kabisa?!
Muongelee mutale
Sijakufahamu swahiba....ID yako ya zamani ni ipiYeah mi nipo, siku nyingii
Hahaha Ghafla
Swain gtfohWewe utakuwa unaangalia mechi za marudio za mwaka 2021. Hapo penati zipi unaongelea wewe
Wake zetu hawa leo naona kama wametuvalia Dildo strip.Simba ni wake zetu kitambo
SawaDube alicheza faulo hakucheza mpira
Mwamuzi aseme tu hakuona naweza kumuelewa
Ni hii hii mbona.Sijakufahamu swahiba....ID yako ya zamani ni ipi
Sawa swahibaNi hii hii mbona.
Mkuu utakuwa unaangalia wa enzi ya kasejaSwain gtfoh
Una hesabu la kumfunga Yanga?HT
Ushindi niliutegemea first half, Tatizo Kipindi cha pili huwa tunachoka wakati Vyura huwa wanakuwa hatari zaidi. Sijui labda leo mambo yawe tofauti. Nipo kinyonge mno.