Kwamba unataka Kila tukio awe ana puliza filimbi hata kwenye faulo nyepesi au????Kwani we huoni anavyopeta tu kama hajali watu wanaumia uwanjani na faulo zote ?
Basi itakuwa Simba 0:1 YangaGoli lipo
Man of the match....ππkayoko ni mtoto wa GSM
Kheeh!mbona ghafla?!Arajiga naye??kayoko ni mtoto wa GSM
Toa neno kamaSimba ni kama kachoka
ππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππRefa kapewa ofa ya kwenda kuchagua chochote kwenye maduka ya GSM akimaliza mechi.
Simba ni timu kubwa, ina mipango zaidi ya Utopolo ndio maand Dube hakuonekana. Sasa Mzize atafanya niniNazani yanga kipindi cha pili toa dube we mzize au beleke toa max weka mkunde alafu wacheze mid block simba wanaonekana kukamia game
Kocha alivyo mngese kamtoa pacome baadala ya nzengeliNazani yanga kipindi cha pili toa dube we mzize au beleke toa max weka mkunde alafu wacheze mid block simba wanaonekana kukamia game