aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
Goli mbili zipo kwa Yanga au nikojoe nilaleSimba wametepeta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goli mbili zipo kwa Yanga au nikojoe nilaleSimba wametepeta
HakunaGoli mbili zipo kwa Yanga au nikojoe nilale
Dogo anchezesha game ,kwa filimbi za mashabikiMan of the match....😂😂
Kaangalie marudio kwa TV utapata majibu, Kayoko katusaidia mno.Kwanini?
Kivipi?
Ndo ivo,Aziz ana bao lake hapoBasi itakuwa Simba 0:1 Yanga
Pakome ni mpiga puli ,Kocha alivyo mngese kamtoa pacome baadala ya nzengeli
Labda bao la mkono, Leo lazima mlie nyie vyuraJamani jamani, Yanga tupeni goli 3 tu
Unajua anamtumia nzengeli kama engine yake ya kufukua mashimo ila leo kafeli Leo angemtoa tu Kisha akamweka mkunde Ili awe free kupiga kaziKocha alivyo mngese kamtoa pacome baadala ya nzengeli
Simba kipindi cha lala salama wanapata kitete miguuni......hii itafutiwe suluhisho la haraka.Hizi dakika za umakini kwa Simba maana Yanga washaanza kutusachi
Ndio kwanza 70' dkHizi dakika za umakini kwa Simba maana Yanga washaanza kutusachi
Kalale tu, tutakupa matokeo. Mpaka sasa Simba 1Goli mbili zipo kwa Yanga au nikojoe nilale
Badala ya kufuata Sheria kaamua kuchezea mizani...Refa ni mzee wa kubalansi matukio
Kunya kabisaGoli mbili zipo kwa Yanga au nikojoe nilale