FT: Simba 1-0 Orlando Pirates | CAF CC quarter final | Benjamin Mkapa Stadium

yaan UTOPOLO walivyo na wivu na kupinga kila kitu utasema jamaa kamuacha Ex wake kumbe bado anampenda halafu huyo Ex anaenjoy maisha ile mbayaaa
 
Kikubwa hawajawapa Orlando Away goal, nafasi bado wanayo.
 
unajua maana ya VAR tuanzie hapo kwanza
Video Assistance Referee. Mara nyingi wale wanao kua studio wanamletea picha za video refa kwenye television pekee iliyopo uwanjani Ili ajiridhishe na sisi watazamaji tunaletewa picha za video Ili kuondoa utata na chupri.

Sasa kama VAR ya Afrika Ipo Kwa mtindo nilio uona Leo basi CAF Wana kazi kubwa ya kufanya.
Haijalishi tukio la Morrison kama ni penalty alali au sio halali ila namna VAR ilivyo tumika sioni na tofauti refa kumuuliza msaidizi wake.
 
Goli moja ni kubwa sana kawaulize fc bayern
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…