Ambao hawaamini macho yao ni wale waliozoea kushinda goli 2+ kwa mkapa kwenye mechi za mtoano lakini leo hii wameambulia goli moja tu. Nikifikia historia zenu za away. Aisee Mungu awaepushie na kikombe maana mlishinda goli tatu dhidi ya red arrow kilichotokea kule kila shabiki alishika shavu kujiuliza ni hii timu yetu iliyoshinda tatu kule dasalamaNdio hivyo yaani, hamuamini macho yenu
Naunga mkono hoja yako mkuu 100% .......tukicheza Kwa kujitoa kila mmoja na nidhamu ya Hali ya juu Kwa dakika zote pamoja na wachezaji kuwa na utimamu wa kiakili na kimwili huku wakimuheshimu mpinzani .....hawa jamaa tunaweza kuwaondosha na wasiamn.Simba wakiacha ule utoto wa kuruhusu magoli ya kizembe ugenini nafasi ipo kabisa kwenda semi final, sijui kinawashinda nini kuwa na discipline kwenye defence.
Let us make them suffer nyumbani kwao, wachezaji wakimbie uwanja wote kuwazuia kucheza mpira wao waliouzoea.
Kauli za wadada wa insta hizo, ncheke ndo nini mtani?[emoji23]Kwamba Kule Mtashinda? Maake Hapo Kwanza Ncheke [emoji1787]
Waulize kwanza Utopolo kuwa hawawasindikiza uwanja wa JKNIA?Haya sasa team orlando mnakuja au tuwafate?
Walio tengeneza mfumo wa VAR walitaka uwazi Ili kuondoa lawama zisizo na Sababu Ili baadae refa asije kusema Ali ingizwa Chaka.umejibu vyema na refa hakuona ulazima wa kwenda kuangalia kwa sababu wale waliokuwa studio baada ya kureview tukio wakaona ni penati na refa hakuwa na pingamizi nao kama wale jamaa wa studio wangemwambia sio penati basi refa lazima angeenda kuangalia kwenye screen VAR humsaidia tu refa kuona kwa vizuri na kujiridhisha tukio husika lakini refa ndiye mwenye maamuzi ya mwisho
Nimerekebisha mkuuUmeandukuje hapo
Huelewi VAR inavyofanya kazi, tulia watalaam watakuelewesha.Video Assistance Referee. Mara nyingi wale wanao kua studio wanamletea picha za video refa kwenye television pekee iliyopo uwanjani Ili ajiridhishe na sisi watazamaji tunaletewa picha za video Ili kuondoa utata na chupri.
Sasa kama VAR ya Afrika Ipo Kwa mtindo nilio uona Leo basi CAF Wana kazi kubwa ya kufanya.
Haijalishi tukio la Morrison kama ni penalty alali au sio halali ila namna VAR ilivyo tumika sioni na tofauti refa kumuuliza msaidizi wake.
Kumbuka hata wewe kuzaliwa ni matokeo ya bao moja tu, sijui kwanini watu wanalidharau hilo bao moja.Simba wakienda bondeni nao watakua wanaruka ruka nakua na kitete kama hao jamaa walivyokua wanacheza kwa mkapa.simba ameshindwa kutumia vizuri uwanja wa nyumbani.goli moja ni dogo sana ukienda ugenini.dalili zakwenda kuzuia goli bondeni ni ndogo sana wanapaswa kujipanga haswa.
Nyie vyura a.k.a manyani fc mmewahi kufika wapi kimataifa?Makolo kwa heri tukutane mwakani
Jadili mpira sio upuuzi.Sio lazima uonyeshe ujuha wako kila wakati.Unaonaje ukienda kuwafunga wewe ?
Ukiwa na quality team away au nyumbani wee unapiga tuu.Naunga mkono hoja yako mkuu 100% .......tukicheza Kwa kujitoa kila mmoja na nidhamu ya Hali ya juu Kwa dakika zote pamoja na wachezaji kuwa na utimamu wa kiakili na kimwili huku wakimuheshimu mpinzani .....hawa jamaa tunaweza kuwaondosha na wasiamn.
Huu ni mpira na Una maajabu yake ....
Haya mashindano yakifika kuanzia robo kwenda mbele sio mepesi kama watu wanavyofikiria . Kumpiga mtu Goli zaidi ya 2 per match sio mchezo.
Nataman na Sisi tuwasome vizuri na tukasimamie itikadi yetu Kwa dakika zote 90 za mchezo .... Mbona wapinzani wetu huwa wanatusoma na Tuna struggle kweli why us on them ? We can
Hawawezi elewa. Ila achana nao.Goli moja ni kubwa sana kawaulize fc bayern
Kule tunapaki basi mwanzo mwisho kwa kukabia goliniTujipange aisee maana kule bondeni shughuli sio rahisi
Mechi ya jana ilikuwa na var lakini mtu kakandamizwa, pia aworldcup qualifier nigeria dhidi ya ghana var ilikuwepo nigeria kapewa penalty ya mchongoMechi zote anazocheza simba pale kwa lupaso ni fair play caf mjitathimini simba haibebwi kama wale jamaa wanavyobwekaga
nyie caf, VAR msiilete tena mnapoteza gharama zenu tuu?