FT: Simba 1-0 Orlando Pirates | CAF CC quarter final | Benjamin Mkapa Stadium

Hongereni Simba ,Morrison kama asinge umia may mnengeongeza hata goli moja.

Out of Topic.

Hivi Qnet ni moja ya wadhamini wa hii michuoni daah, yaani kama naona kwenye lile file lao wanalo litumia kusaundisha watu picha ya mechi ya leo ya Simba lazima zitakuwepo.
 
ese ndeeefu,mmeanza kubadili gia leo. Tangu enzi za Red Arrows mpaka kutinga nusu fainali
 
Goli moja ni kubwa sana kawaulize fc bayern
Nisawa kwenye mpira lolote linawezekana ila tunajadili uhalisia wa mpira wetu.Sidhani kama simba ana mipango yakucheza mpira tofauti na anaouchezaga ugenini.kwahiyo mwenye advantage ya mechi ya mwisho niyule atakayekua nyumbani.ndo maana naona tulitakiwa kufunga magoli mengi zaidi ili kujihakikishia usalama zaidi.
 
😂😂
 
Nguvu moja
 

Angalia na timu ambayo Simba amecheza nayo. Mechi ilikuwa ngumu Sana. Hivyo usiwabeze na kuwachukulia kawaida. Kwa Sasa Simba wakienda South wasiende kwa pressure Bali waende Kama vile Ni fainali.
 
Ukimaliza utupe na rekodi zenu uto[emoji1].
 
Wewe kweli ni redio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…