FT: Simba 1-0 Orlando Pirates | CAF CC quarter final | Benjamin Mkapa Stadium

Kumbe Orlando Pirates siyo timu tishio kabisa; walichezeshwa kama watuto. In fact wakipambana na timu kama Mbeya City, watafungwa vibaya sana.
 

Unapopanga kufunga magoli mengi na mwenzako pia amepanga kufunga magoli mengi. Angalia Aina ya timu Simba aliyocheza nayo.
 
Tutapigwa mpaka tuchakae[emoji23], hakuna kupaki basi kule.
Na hii ndio itakuwa game approach ya kocha. Na Morrison hatokuwepo south. Na pia kuna tatizo ya wachezaji kutembea tu mpaka wanafika golini watu wanakabia macho yaani Inonga na Manula ndio wana sahisha makosa. Lisipo shughulikiwa hilo game itaisha dakika 45 za kwanza tu
 
Mbona berkane tulimfunga moja tu shida iko wapi acha tufungwe kama mtakavyo ninyi na nyie mkachunge ng’ombe
 
Duh mwanaume anaongea lugha hio unayoiongea wewe, huko nyuma sina uhakika kama kupo salama , hata huko mbele kutakua hamna kitu ni kipisi cha sigara.
Njoo Unibong'olee Uone Kama Sijaingiza Yote...Yani Nitakukandaa Sichekagi Na Musenge Kwenye Izo Kazi [emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…